CHADEMA ipi inayojifia nyie madhalimu sisiem?
Hii mliyoipiga marufuku isifanye siasa miaka5 huku siasa mkifanya ninyi wenyewe na bado inaendelea kukua kila leo?
Hii mnaokamata, kuteka, kuwaweka kizuizini, kuwapiga na kuwatia ulemavu viongozi wao wengine mnnawaua lakini CHADEMA hiyo hiyo ndo kwanza inaimarika?
Hii mnayotumia wahuni kuwatwanga Risasi viongozi wake mchana saa7 kweupe?
CHADEMA hii hii mnayotuma wahuni usiku wakamshambulie mwenyekiti Kisha mnatumia propaganda kuonyesha mwenyekiti alikuwa amelewa??
Niwaambie tu pale umma utakapoamua hakika mtalia na kusaga meno!
Umma ukisimama kidete mtahaama nchi! Hakuna wa kutuzuia, tutaondoa kuanzia mtoto mwenye miaka 0 mpaka Bibi mwenye miaka 100+ mwenye vinasaba vya Lumumba! Chuki mliyoipanda kwa kipindi kirefu Sasa haivumiliki!
CC: USSR, MAGONJWA MTAMBUKA, WAKUDADAVUA, BIA YETU, MBINGUNIKWETU(HUYU NI DAUD ALBERT BASHITE)