Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Kule Putin ataendeleza mchezo.Vipi kuhusu Afrika magharibi, mapigano hakuna tena au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule Putin ataendeleza mchezo.Vipi kuhusu Afrika magharibi, mapigano hakuna tena au?
Wanakata kiuno halafu ndani hawavai kufuliHivi wale wahudumu wenye mizigo tan 10 bado wapo hapo picnic?,hiyo bar kwa mizigo ni hatari sana kwa Wanaume rijali.
Safi sana akapumzike motoni hukoBado Zelensky. Na yeye analiwa tu timing. Putin siyo mtu poa hata kidogo.
Ndege ya pili iliyopaa kuelekea St Petersburg imetua baada ya kwanza kupigwa.
Wananchi wa Tver wamesema walisikia milipuko miwili kabla ya ndege kuanza shuka chini
Yap kwenye Urais.Jamaa alikuwa anakwenda kugombea Uraisi.R.I.P Prigon, nimeumia Sana , hapa msela Putin kazingu, labda Kama alikuwa ni hatari mbeleni
Msimpe kichwa Putin, mnampa kichwa cha bure tu.Never try Putin
Twende kwenye uzi wa kumhusu unitag nimpostHiyo hapo ndio picha ya Braza Prigozhin boss la Wagner
Haya na wew nijuze+mafotofoto ya huyo Nikola zigicView attachment 2726584
Wanampa kichwa cha bure tu huyo Putin waoKilichompeleka kuvuruga maslahi ya Ufaransa huko NIGER ni kipi? Beberu hashikwi ndevu. Ndio maana Putin humtoi Kremlin make anajua yuko kwenye Target. Wenzake wako mkutanoni BRICS huko S. Afrika yeye kajichimbia ikulu.
Kawaida mbona baadhi ya vifo vichache vya wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine havitajwi kuepuka kulipa fidia nyingi. Wakiona hoehae wanatupa uko hujulikani ulienda wapi. Mtoto wa maskini umetoka Tula vijijini uko mpakani familia yako itaandamana saa ngapi.Ila kwenye hao killed huenda wameficha ili familia zao zisisumbuliwe
Hapa si alikuwa ame outsource kama tunavyowapa kazi za ulinzi kampuni binafsi, kwa mazingira hayo kule itabidi aingie nchi kama nchi sasaKule Putin ataendeleza mchezo.
Kama ni kweli ,Putin kafanya vibaya kumuua Mwamba.Hapa si alikuwa ame outsource kama tunavyowapa kazi za ulinzi kampuni binafsi, kwa mazingira hayo kule itabidi aingie nchi kama nchi sasa
Rule no.1: NEVER OUTSHINE THE MASTER.Inasemekana Prigozhin alikuwa agombee urais dhidi ya Putin.Putin ni muuaji kabisa.Hivi wanashindwa vipi yeye kumuua ?
Jamaa hajatunguliwa na Putin. Kauawa na makombora ya UkrainKama ni kweli ,Putin kafanya vibaya kumuua Mwamba.
Sidhani kama wataruhusu ADs ifanye kazi afu hayumo, akipona maana yake ni vita rasmi.Kawaida mbona baadhi ya vifo vichache vya wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine havitajwi kuepuka kulipa fidia nyingi. Wakiona hoehae wanatupa uko hujulikani ulienda wapi. Mtoto wa maskini umetoka Tula vijijini uko mpakani familia yako itaandamana saa ngapi.
Ila private jet ni ya Prigozhin ingawa hakuna confirmation kutoka serikalini kwamba alikuwemo, kilichotajwa ni kwamba kwenye passengers list yupo. Labda kuna muujiza alisitisha safari kabla dakika za mwisho.
Mama haya mambo ni next level kwako,sidhani hapa Duniani kuna masheta kama west.Thank you God,na iwe hivyo.Bado Putin. Binafsi nilikuwa ninasali huyu shetwani afe.
Ilitegemewa hii..Putin huyo!