Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Alaaa kumbe haya ndio maandamano........🤔🤔🤔
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Ni baadhi ya Watanzania tena wachache siyo Watanzania wanaoishi Marekani. Weka usahihi wa taarifa yako. Si umesema wengine walikuwa ndani Rais akiwahutubia! Ni haki yao ila . muhimu ni; mambo ya Tanzania yataamuliwa Tanzania siyo Washington wala 10 Downing street.🙏🙏🙏
 
wametumia Haki yao ya Uhuru wa kutoa maoni yao.
ila hakuna jambo jipya ambalo Rais halijui, lishatolea uffanuzi hivyo kwa sasa kipau mbele ni kuimarisha uchumi wa nchi

Kupanga ni kuchagua..........tumechagua kuanza na Kuimarisha Uchumi kisha suala la katiba mpya litafuata.
 
big deal ni ujumbe
...mkubwa sana.

Biden siyo mjinga kutokumpa Hangaya jesha ya kuonana nae.


ni namna nyingine ya kuionesha dunia kuwa pamoja na watawala wa tanzania kujinasibu wameimarisha demokrasia na utawala wa sheria bado kunaibua maswali mengi kwanini watanzania hawahawa wakiwa nyumbani hawawezi kuandamana na kueleza hizia zao kwa uhuru lakini wakiwa ughaibuni wanaweza? ni kwa sababu ya utawala wa mabavu na vitisho huko nyumbani. kwa maana nyingine viongozi wetu wakiwa katika majukwaa ya nje wanaongea uongo kwenye jumuia ya kimataifa.

anaesema maandamano haya hayana maana hawazi sawasawa.
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Mungu wabariki Wazungu
 
Akili yako mbovu sana. Ni bora watu wasijibizane na wewe. Labda upongezane na johnthebaptist
Kwani hao binadam ni spesheli sana kuishi.

Duniani tunapita haijalishi unakufa kwa njia gani.

Walikuwa wanahoji ujinga ni bora hata walipotezwa. Mtu unaakili timamu unahoji elimu ya mtu. Hayo ni masilahi ya Taifa? Jinga wewe!

Tuone kama hiyo katiba italeta maajabu?
hawajitambui hao
Wakae wafanye kazi
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Pia walivaa T-Shirt zinazotaka haki itendeke kwa Ben Saanane, Azory, Gwanda etc

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Safi sn ujumbe umefika
 
salamu kwa watanzania wenzetu huko USA.
Demokrasia Katika ubora wake
 
View attachment 2198349

Kufuatia Ziara ya rais Samia huko Marekani, wananchi waishio huko wameandamana kudai katiba mpya.

Watanzania hao walibeba mabango yenye ujumbe wa Kudai katiba mpya na Wengine kubeba mabango yanayotaka serikali imwachie huru Mwanasheria Peter Madeleka ambaye inasemekana amekamatwa na Polisi lakini hajulikani alipo(Jeshi la Polisi halijatoa taarifa rasmi)

Pia walivaa T-Shirt zinazotaka haki itendeke kwa Ben Saanane, Azory, Gwanda etc

Hapo juu nimeweka video ya maandamano hayo huko Marekani
Angalau mama akutane na changamoto kidogo pengine atarudi nyumbani sasa.
 
Back
Top Bottom