The africanus
Member
- Sep 25, 2021
- 79
- 94
Issue ndogo sana kama akili zako.Kutaja B badala ya M ni ishu ndogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ndogo sana kama akili zako.Kutaja B badala ya M ni ishu ndogo sana
Ili watu wasio na uelewa kama wewe uelewe kuwa foreign reserve ya Tanzania ni Usd bil 6.253. Hivyo kiongozi kukosea na kusema ni Usd mil 6253 sio ishu ya kushupaza shingo mpaka mnajamba
Una maana gani?Ameachia replies huko ulikotoa huu utetezi? Lakini kwa sasa yeye sio kiongozi wa mijadala tena kama zamani. Sasa hivi yeye nguvu yake ya ushawishi imeisha, kwa bahati mbaya chama chake kimebeba taswira yake ya undumilakuwili.
Unavaa miwani myeusi usiku kwenye ukumbi wa disco?Are you ok upstairs?
Umeshaandika "kukosea"!Nasi tunajua kakosea.Mbona hawatoki hadharani kusahihisha?Hapo tu.Ili watu wasio na uelewa kama wewe uelewe kuwa foreign reserve ya Tanzania ni Usd bil 6.253. Hivyo kiongozi kukosea na kusema ni Usd mil 6253 sio ishu ya kushupaza shingo mpaka mnajamba
Mbona unashupaza shingo kwa jambo ambalo lipo wazi?Hiyo mamlaka ya kuelewesha umma umeipata wapi? Wakosee ikulu halafu wewe uje kuelimisha umma tena kwa kuleta bandiko la zitto? Si maajabu haya?
Unasema haujadili B na M huku unazitaja kwenye post yako.
Sijaelewa tafsiri ya kujadili kwako inamaanisha nini ila ile tu bado unajibishana na watu hapa ndio kujadili kwenyewe.
Tuliza kichwa
Sijawahi kuwaamini watu wa Kigoma kwenye siasa huyo jamaa anapingana na Kauli ya Rais au ndiye Amekuwa Jafari Haniu?
Lipo wazi ungejitia kuelimisha watu?Mbona unashupaza shingo kwa jambo ambalo lipo wazi?
Unaitisha mkutano kukataza watu wasikusanyane eti kuna koronaHii nchi ngumu sana, mtu anakataza watu kujadili kitu ambacho yeye mwenyewe anakijadili.
Hadi anaandika haya si inamaana na yeye yumo kwenye hao anaowaita wamekosa kazi?
By the way who is Zitto aamulie watu nini cha kujadili na kipi sio cha kujadili?
Kukosea kutamka kwa bahati mbaya😎
Kakosea kwa bahati mbaya,sawa.Sasa weye na Zitto kwa nini mnasema tunabisha kitu cha kweli?Kwani kumkumbusha mtu kakosea ni dhambi?Mpaka tubishane utadhani tunagombea nini sijui!Kukosea kutamka kwa bahati mbaya😎
Unaitisha mkutano kukataza watu wasikusanyane eti kuna korona
Baba levo%kubwa ya pipo wa KG ni chawa wakutisha sana
Wewe ni mjinga sana. Unajua kabisa ishu ni Usd bil 6.253 lakini sababu aliteleza kutamka unataka uoneshe kuwa alipotosha. Mpumbavu sana wewe.Kakosea kwa bahati mbaya,sawa.Sasa weye na Zitto kwa nini mnasema tunabisha kitu cha kweli?Kwani kumkumbusha mtu kakosea ni dhambi?Mpaka tubishane utadhani tunagombea nini sijui!
Kama inajulikana hivyo, kulikua na haja gani kuiweka kwenye taarifa ya Rais kwa wananchi? Na ndivyo ilivyosemwa? Hii figure unanukuu taarifa ya mheshimiwa au vyanzo gani?Ahaaa, kwa sababu zipi na foreign reserve inajulikana ni Usd bil 6.253.
Niishie kucheka.😂😂😂😂😂Wewe ni mjinga sana. Unajua kabisa ishu ni Usd bil 6.253 lakini sababu aliteleza kutamka unataka uoneshe kuwa alipotosha. Mpumbavu sana wewe.