Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jemaTukumbushne: Yanga imetinga nusu fainali
Mission za kutengeneza michongo zimeanza sasa 🤣🤣🤣!!Kigogo mmoja amemuomba msamaha Waziiri wa zamani wa Nishati mh Kalemani na kusema Wakati Ule anamshambulia hakujua kuwa alikuwa anafanya Kazi kubwa sana
Kigogo huyo kupitia ukurasa wake wa twitter amesema anaomba radhi sana kwa mbunge huyo wa Chato na kwa Mungu wa mbinguni
Nawatakia Mei dei yenye Furaha!
Lupaso kuna Jenereta ya Mchongo 😂😂😂Mission za kutengeneza michongo zimeanza sasa 🤣🤣🤣!!
Hayo ni Mawazo yako!Hamna kazi aliyofanya. Hao walikuwa wapiga matarumbeta wa Jiwe. Walikuwa tayari mitambo ya tanesco iungue lakini wasizime umeme kwa ajili ya ukarabati
Debrainization of chiembeHamna kazi aliyofanya. Hao walikuwa wapiga matarumbeta wa Jiwe. Walikuwa tayari mitambo ya tanesco iungue lakini wasizime umeme kwa ajili ya ukarabati
Kwa akili zako jenereta la Lupaso liko chini ya wizara ya nishati?Lupaso kuna Jenereta ya Mchongo 😂😂😂
Chuki binafsiChato wamekaa paleee wanamsubiri, wanachato wanasema hajaleta maradi wowote ule wa maendeleo, miradi iliyopo ni juhudi za JPM akiwa mbunge wao, na baadae akiwa Rais.
Tangu JPM afariki, ni mkuu wa Wilaya Mh. Katwale ndio amekuwa akipiga simu huku na kule kwa mawaziri ili walete miradi ya maendeleo. Hongera sana katwale, chukua Jimbo tu Sasa.
Hiyo umesema wewe😂😂😂Kwa akili zako jenereta la Lupaso liko chini ya wizara ya nishati?
Yupo sahihi nafikiriDakika 5 tu baada ya umeme kukata akakanusha kuwa Tanesco hawahusiki as if hii nchi inaendeshwa na majenereta amesahau kuwa whichever the way power backup inatakiwa...Tanesco hawawezi kukwepa kwenye hili!
Tupo vizuri kwenye upumbavu tu.Wabongo sijui wapi tuko sawa maana hata miundombinu shida aibu sana kwa taifa letu. Watu kibao wanatazama now wanatusema tu
Bado sana wataomba radhi nakulia machozi ya dam kupata msamaha.Kigogo mmoja amemuomba msamaha Waziiri wa zamani wa Nishati mh Kalemani na kusema Wakati Ule anamshambulia hakujua kuwa alikuwa anafanya Kazi kubwa sana
Kigogo huyo kupitia ukurasa wake wa twitter amesema anaomba radhi sana kwa mbunge huyo wa Chato na kwa Mungu wa mbinguni
Nawatakia Mei dei yenye Furaha!
Mr chiembeKwa akili zako jenereta la Lupaso liko chini ya wizara ya nishati?
Muulize alileta mradi gani hapo Chato, JPM ndiye alikuwa analeta miradi Chato, kwa muda wake wote wa ubunge, hajafanikiwa kuleta hata mradi wa chooChuki binafsi
Mwenzako ameomba msamaha 😀😀😀
Mingapi iliungua??Hamna kazi aliyofanya. Hao walikuwa wapiga matarumbeta wa Jiwe. Walikuwa tayari mitambo ya tanesco iungue lakini wasizime umeme kwa ajili ya ukarabati
Mungu aliingilia kati akamlambisha mchanga, ndio ponapona ya hiyo mitamboMingapi iliungua??