TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Mkuu ameacha vi-bottom nje kina Crimea watakosa huduma ya kukunwa vipeleTunajua kwamba kesi husomwa kila baada ya wiki mbili mbili endapo wakihahirisha ila kwa huyu JAMBAZI inatakiwa isomwe kila baada ya miezi 6 sita.
Sawa vitatenda haki kwake kama vilivyotenda haki kwa akina Rugamarila sawa na uamsho. Huyo ksbb alikuwa kiongozi jambazi upelelezi wake unaweza kuchukua miaka 9 hivi. Kwa hiyo usijali mkuu upelelezi bado sana.Tunacho taka vyombo vyetu vifanye kazi kwa weledi, kamwe visikubali kuendeshwa ama kusukumwa na maneno ya vijiweni, majungu, fitina na chuki za kisiasa.
Sheria zizingatiwe, tusiongozwe na hisia au dhana.
Wewe hapa unafanya kazi gani? Au kucomment ndio kazi uifanyayo?Yani kuna watu wana kosa kazi za kufanya kiasi hichi
Wananchi wanapeleka ujumbe kwa Rais na DPP, na Hamduni, kuwa wamefurahishwa na kazi zao ,Jeshi la Polisi lisiruhusu mikusanyiko na zomea zomea kama ilivyo jitokeza leo hii nje ya mahakama.
tukiruhusu hali au tabia kama hiyo iendelee ni hatari sana kwa usalama wa watu wengine ambao huenda ni washabiki wa mtuhumiwa sabaya, maneno yanayo tolewa na kundi hilo la watu yanaweza kuchochea hasira kwa wengine na kusababisha vurugu kutokea au hata watu kuumizana.
wakati mwengine tusiruhusu watu kuleta ushabiki na kupiga mayowe na kutoa lugha za kukashifu ktk maeneo ya mahakama.
Noma hii dunia haitaki ubabeVyote kwa pamoja mkuu
Kaminywa makende uyo jambazi msaidizi
Nani kasema atatolewa kiwepesi ivyo???? Sabaya aliekuwa anampa kibri Ni yule mwehu, Sasaivi acha anyooshwe mbwa uyoHaiondoi ukweli kuwa kashanyea debe. It has stick a bad spot the rest of his life. Yaani hapa wanyonge halisi tumeshashinda huo mtanange hata akitolewa kesho.
Duh...!.Akae huko huko kisongo mpaka tako lote na shavu aliloenda nalo pale clauz litokomee.
kijana tafuta TOP mwingine, Sabaya hatoki tena akiwa mzima, aliekuwa anampa jeuri alishasemaga dawa ya jambazi Ni moja tuuu(hukumu ya kifo Cha namna yoyote ile, hakuna kulea ujambazi kweny utawala huu wa Mama SamiaNilijua tu lazima umtaje bi kirembwe maana bila kumtaja mimba yake aliyokuachia ingesababisha utapike siku nzima ya leo
Hao wanaomzomea tunawajua Ni CHADEMA sio wananchi .Acha azomewe kabisa, mwiz mkubwa
Kwa furaha iliyopitilizaWananchi wakimshangilia kwa furaha....
View attachment 1822627
Chadema Ni raia wa Nchi ganiHao wanaomzomea tunawajua Ni CHADEMA sio wananchi .
Muda ndo utaongea huoni suti na diary kabisa.nyie bavicha endeleeni kupiga kelele Ila soon hamtaamini.naona unajifariji, msionacho mna tabu sana,uyo bwana ako Sabaya Lazima akajazwe mimba kisongo, ndio Atajua Kuna wenye Nchi sasa,yule chizi sialikuwa anampa kiburi uku kaskazini,
naona wewe ndio ulikuwa mpambe wake wakuzulula nae kwenye madanguro na kwenye maduka ya watu kuiba, na Lazima afie jela kabla ya hukumu, take it from me japo inauma sanaaa,ila pigia mstari ilo kijana,
Samia anataka aongoze Nchi bila majambazi Kama Sabaya,
na ana mashtaka mengine yakuichafua UN kwenye ujambazi wake,yashakuwa tayari yatajumlishwa,
uyo anafia jela 100%✓✓
Sabaya anafia jela dada, tafuta tu bwana mwingine usijipe matumaini hewa umesikia!!? Uyo Ni jambazi hawezi kuachiwa atahatarisha usalama wa wawekezaji, dhulma ya magufuli atailipia yeyeMuda ndo utaongea huoni suti na diary kabisa.nyie bavicha endeleeni kupiga kelele Ila soon hamtaamini.
Umeyajua haya Leo?Tunacho taka vyombo vyetu vifanye kazi kwa weledi, kamwe visikubali kuendeshwa ama kusukumwa na maneno ya vijiweni, majungu, fitina na chuki za kisiasa.
Sheria zizingatiwe, tusiongozwe na hisia au dhana.
Hao ni CHADEMA mkuu baadae wanakuja kuilaumu serikali maisha magumuYani kuna watu wana kosa kazi za kufanya kiasi hichi