King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Lazima walimtekenya ili ushahidi ukamilike
Tambo zote na Nyama za sambusa zimeisha 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima walimtekenya ili ushahidi ukamilike
sasa kama wananchi wanatoa hukumu kwa sabaya kazi ya mahakama ni ipi?Wananchi wanapeleka ujumbe kwa Rais na DPP, na Hamduni, kuwa wamefurahishwa na kazi zao ,
Na hii pia ni ujumbe kwa mh. Rais na wakuu wa sheria, wasipindishe chochote kwenye ayo mashtaka ya uyo Jambazi ,kila kitu kipo dhahiri na ushaidi upo wazi kabisa,kwaiyo uyo jambazi wa kimataifa apate hukumu stahiki ya miaka 60 jela,
Daah na alikuwa na weusi wake wa kung'aaDogo kapauka sana, hii picha imenifanya nijisikie vibaya
View attachment 1822709
Na yeye alivyokuwa anatufanyia vitendo vya kizandikizi miaka yote hiyo mahaka ipi iliingilia kati? miaka yote hiyo hadi leo, kweli? Haki imechelewa sana.sasa kama wananchi wanatoa hukumu kwa sabaya kazi ya mahakama ni ipi?
Sabaya bado ni mtuhumiwa mpaka pale mahakama itakapo amua baada ya kupokea ushahidi, sasa hicho kikundi kinacho zomea na kutukana hapo nje ya mahakama ndio sahihi?
Mahakama na Polosi hawapaswi kuachilia vitendo vya kihuni vikifanyika ktk maeneo ya mahakama, hiyo ni dharau na kuishinikiza haki bila kufuata utaratibu.
vitendo hivyo vichialiwe.
Kweli.Wasimhurumie huyu jambazi kisa ni mwana CCM.Tunacho taka vyombo vyetu vifanye kazi kwa weledi, kamwe visikubali kuendeshwa ama kusukumwa na maneno ya vijiweni, majungu, fitina na chuki za kisiasa.
Sheria zizingatiwe, tusiongozwe na hisia au dhana.
Kwa sababu nimeongea ukweli?kwel ww ni nguchiro
Icho kikundi Ni Cha Wana CHADEMA mkuu. wananchi wenye akili zao timamu hawawezi kufanya huo ujingasasa kama wananchi wanatoa hukumu kwa sabaya kazi ya mahakama ni ipi?
Sabaya bado ni mtuhumiwa mpaka pale mahakama itakapo amua baada ya kupokea ushahidi, sasa hicho kikundi kinacho zomea na kutukana hapo nje ya mahakama ndio sahihi?
Mahakama na Polosi hawapaswi kuachilia vitendo vya kihuni vikifanyika ktk maeneo ya mahakama, hiyo ni dharau na kuishinikiza haki bila kufuata utaratibu.
vitendo hivyo vichialiwe.
aisee kumbe hii kesi ni kati ya:Icho kikundi Ni Cha Wana CHADEMA mkuu. wananchi wenye akili zao timamu hawawezi kufanya huo ujinga
CDM hatupokei wasiojali haki za binadamuSasa sabaya atatoka lini jela ahamie chadema naamini atakuwa moto Sana kuibomoa ccm
Wewe ngetwa kweli kweli, kwani majambazi sugu huwa wanavaa matambara...?Mtu anaenda na suti kama hivyo alafu unasema kama jambazi sugu?
Bavicha mna laana gani?
Hilo ndiyo kosa kubwa kuliko yote hapoYote tisa kumi hili kosa ni balaa, dogo akizubaa anakula mvua za maisha!! yaani inaitwaga niagieni, iagieni!
Utolewe ubongo mara ya ngapi?kwa trend hii ya mama hawa tumbili wanaamini sabaya atafungwa[emoji38][emoji38].
ni afadhali utolewe ubongo kuliko kuwa mfuasi wa chadema haki ya Mungu.
nilichagua hiyo baada ya kuambiwa ama nijiunge kuwa nyumbu.Utolewe ubongo mara ya ngapi?
Tukumbuke anatuhuma nyingi bado ,nadhani hatambowe atakua kwenye ushahidi upande waserikaliYule ushahidi wake sio wa kutafuta kwa torch
Alishaondoka nao... umebakiwa yamebaki matui ya nazi tu kichwaninilichagua hiyo baada ya kuambiwa ama nijiunge kuwa nyumbu.
kwakweli nilikataa.