Arusha: Ole Sabaya na wenzake wamefikishwa Mahakamani, kesi yaahirishwa
Hata mimi nina mashaka sana dogo anaonekana anaishi kiVIP
 
Matapeli na wezi kama kina msofe wanaachiwa,

Wanaamua kukomaa na sabaya,

Mambo ya ajabu kabisa haya.
Ndege wafananao huruka pamoja.

Ukiona majizi yanapata baraka za ikulu unajua enheee.... kumekucha.

Meza zimepinduliwa hapa, majizi yameshika hatamu.
 
Akitoka huko tutampokea chadema
Kwa haya yote yanayoendelea kuhusu sabaya kwa mtu mwenye akili anapaswa kuona aibu vibaya mno na mtu huyo ni mwana ccm ila kwa kuwa ni mavichwa maji bado yapo tu hayaoni kuwa sabaya ni clip ndogo tu ya matendo aliyoyafanya magufuli. Picha nzima ikioneshwa live matendo yenu hamuwezi kupiga makelele sijui nambariwana this nambari wani that.

Ni kwa vile tu hakuna mbadala, ukiwaambia wananchi wahame hakuna ccm hata mmoja atakaebaki ndiyo ujue unafiki ulivyo mbaya. Ingetokea useme kuna ndege inachukua raia anayetaka kuhama tz kwenda nchi fulani sasa hivi ungeshangaa wa kwanza kwenye ndege angekuwa nani
 
Watanzania wanafeli sehemu moja tu,siku Hakimu anaita mashahidi

Hatoenda hata mmoja waliotendwa wote wataogopa,watapanda mashahidi

feki wenye chuki na sabaya.ambao wakikutana na mawakili wa sabaya mashahdi Feki wanapgwa KO

wabongo shida ni ujasiri wa kusema NDIO penye ndio na Kusema HAPANA penye HAPANA akipatikana huyo mtu basi

ila kwasasa sitoshangaa siku napshana na sabaya pale shopperz,Hakimu hafungi mtu bila shahidi wa kuona/kutendwa

Mashahidi ambao kuwapata katika taifa letu ktk mashahiidi 100 utambahatisha mmoja wengine wote MAFISI MAJI.
 
Sabaya kwanza unaweza kukuta hakuwa rumande!

Na atawashinda mapema tu! Au ataambiwa alipe faini kwa DPP kama kina SETH
Nasikia yupo chumba kimoja na Nyapara. Sijui wanafanyaga nini usiku. Ila kuna taarifa kuwa marinda tayari yameachia.
 
Watanzania wanafeli sehemu moja tu,siku Hakimu anaita mashahidi

Hatoenda hata mmoja waliotendwa wote wataogopa,watapanda mashahidi

feki wenye chuki na sabaya.ambao wakikutana na mawakili wa sabaya mashahdi Feki wanapgwa KO

wabongo shida ni ujasiri wa kusema NDIO penye ndio na Kusema HAPANA penye HAPANA akipatikana huyo mtu basi

ila kwasasa sitoshangaa siku napshana na sabaya pale shopperz,Hakimu hafungi mtu bila shahidi wa kuona/kutendwa

Mashahidi ambao kuwapata katika taifa letu ktk mashahiidi 100 utambahatisha mmoja wengine wote MAFISI MAJI.
Sahau huyo arudi tena
 
Wewe kama sio mwizi basi utakua tapeli maana unatetea wenzako.
Acha ujinga
Jibu swali umesema ye mwizi amekuibia nini?
Kama una ushaidi mbona ukupeleka mahakamani unakuja piga kelele hapa mwizi mwizi.
 
Namwona sabaya kama ana bibilia mkononi kweli duniani hakuna kinachoshindikana aisee gereza c mchezo kumbe hata shetani anaweza kuokoka ni suala la muda tu
Waliomteua kuwa DC,licha ya tuhuma za kugushi ID ya usalama wa taifa na kujifanya afisa usalama wa taifa walikuwa na malengo gani?
Kuna watu wanasema hata pale wananchi walipotoa malalamiko yao yenye mashiko hadi ngazi ya mkoa na hata kwa waziri mkuu Majaliwa yalipuuzwa.
Sijui kwa ulimbukeni wake au kwa ujinga wake alilewa misifa ya untouchable, mwana pendwa akitumia gari zenye UN plate number wakati akijua ni kinyume cha sheria zetu.
Kama kweli hii kesi itaendeshwa kisawasawa, serikali itaumbuka kwa kuajiri mtu design ya Sabaya na kumkingia kifua wakati wa awamu ya tano.
 
Habari wadau..!
Nimefuatilia kesi ya Sabaya nikaona imejawa vichekesho na maigizo kama bongo movie yaani inaanza lakini unajua wapi itaishia.

Hii inatokana na jinsi mashitaka aliyopewa Sabaya yamekaa kichuki chuki tu zidi yake .

Unaaambia mkuu wa wilaya kabaka haiiingii akilini hivi hawa mabinti wa siku hizi walivyo mserereko hata kwa kiyepe yai ,yaani mkuu wa wilaya amtake demu usawa huu harafu demu akatae anapata wapi huo ujasiri wa kumkatalia mkuj wa wilaya nani mwenye uthubutu wa kupiga teke kapo la hela.

Unaambia mkuu wa wilaya kafanya ujambazi kakwapua 30,000/ = na 300,000/= haiingii akilini ,ni uzushi mtupu .Hakuna mkuu wa wilaya mwenye njaa ya kahela kama hacho.

Hizi ni chuki za Mbowe baada ya kudhibitiwa na kijana mdogo na kuukosa ubunge leo anataka kulipiza kisasa kwa Sabaya kwa njia nyingine.
Ila soon ukweli utawekwa wazi ,siku zote wanakwambia uongo unapanda lift lakini ukweli unakuja na bajaji😂😂😂
Mjiandae kisaikolojia 😂😂

2812553_20210618_193630.jpg
 
JANA NIMEFIKIRIA MENGI SANA NA NIMEOGOPA :::
Inakuwaje Watu wanajikusanya Eneo la Mahakama na Kuanza kuzomea zomea !!! Zamani tumesoma kwenye Vitabu kuwa Eneo la Mahakama panahitaji Ukimya Mkubwa sana na watu hamruhusiwi kupiga kelele za aina yoyote ile ila jana nimeshangaa sana kilichotokea pale Sekei kiukweli.

Tunaambiwa "No body is Guilty until proven by the court", sasa kwa nini Mahakama imeruhusu hiyo Zomeazomea?
 
Kwani hujui kwamba mafisadi, walarushwa, wapiga-dili, wabadhirifu na wazembe wenzio sasa awamu hii tena wameingia kazini!??? Endelea kuwashangilia tuuu, sawa!???
 
Back
Top Bottom