Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege wafananao huruka pamoja.Matapeli na wezi kama kina msofe wanaachiwa,
Wanaamua kukomaa na sabaya,
Mambo ya ajabu kabisa haya.
Walikuibia kitu gani hebu tuambieMatapeli na wezi kama kina msofe wanaachiwa,
Wanaamua kukomaa na sabaya,
Mambo ya ajabu kabisa haya.
Kwa haya yote yanayoendelea kuhusu sabaya kwa mtu mwenye akili anapaswa kuona aibu vibaya mno na mtu huyo ni mwana ccm ila kwa kuwa ni mavichwa maji bado yapo tu hayaoni kuwa sabaya ni clip ndogo tu ya matendo aliyoyafanya magufuli. Picha nzima ikioneshwa live matendo yenu hamuwezi kupiga makelele sijui nambariwana this nambari wani that.Akitoka huko tutampokea chadema
Hivi kule mirungi na gongo anazipata kweliDogo kapauka sana, hii picha imenifanya nijisikie vibaya
View attachment 1822709
Mbowe nae ulimpelekea ?Kesho nitamtembelea, nitampelekea mafuta na sabuni
simple wale wana kesi ya ufisad unao husisha mabillions. sabaya ana kesi ambayo haina kipengele cha ufisadi.Utofauti wake ni upi?
Nimeandika nikafuta, nikagundua kuwa hustahili kujibiwa chochote na mimiMbowe nae ulimpelekea ?
Wewe kama sio mwizi basi utakua tapeli maana unatetea wenzako.Walikuibia kitu gani hebu tuambie
Nasikia yupo chumba kimoja na Nyapara. Sijui wanafanyaga nini usiku. Ila kuna taarifa kuwa marinda tayari yameachia.Sabaya kwanza unaweza kukuta hakuwa rumande!
Na atawashinda mapema tu! Au ataambiwa alipe faini kwa DPP kama kina SETH
Sahau huyo arudi tenaWatanzania wanafeli sehemu moja tu,siku Hakimu anaita mashahidi
Hatoenda hata mmoja waliotendwa wote wataogopa,watapanda mashahidi
feki wenye chuki na sabaya.ambao wakikutana na mawakili wa sabaya mashahdi Feki wanapgwa KO
wabongo shida ni ujasiri wa kusema NDIO penye ndio na Kusema HAPANA penye HAPANA akipatikana huyo mtu basi
ila kwasasa sitoshangaa siku napshana na sabaya pale shopperz,Hakimu hafungi mtu bila shahidi wa kuona/kutendwa
Mashahidi ambao kuwapata katika taifa letu ktk mashahiidi 100 utambahatisha mmoja wengine wote MAFISI MAJI.
Acha ujingaWewe kama sio mwizi basi utakua tapeli maana unatetea wenzako.
linakufuruJAMBAZI LIMEBEBA BIBLIA.
Kweli mkuu. Mungu anachezewa sana.linakufuru
Waliomteua kuwa DC,licha ya tuhuma za kugushi ID ya usalama wa taifa na kujifanya afisa usalama wa taifa walikuwa na malengo gani?Namwona sabaya kama ana bibilia mkononi kweli duniani hakuna kinachoshindikana aisee gereza c mchezo kumbe hata shetani anaweza kuokoka ni suala la muda tu