Arusha: Ole Sabaya na wenzake wamefikishwa Mahakamani, kesi yaahirishwa
Sasa vp bi.kirembwe amuchie mwanaume mimba???au kwenu mama ni baba na baba ni mama????
Nilijua tu lazima umtaje bi kirembwe maana bila kumtaja mimba yake aliyokuachia ingesababisha utapike siku nzima ya leo
 
Ingempendeza Mungu wote wale waliowabambika kesi jela nao waingie kule
 
Hapa ndo kuna swali "Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya".Ndugu mleta mada ungesema 'amekonda' na sio "suti Kupwaya". Labda tu walio karibu nae wamshauri hayazoee tu maisha ya Ugali kwa Maharage maana Hakuna namna.
Halafu baba yake mwendazake alikataza mahabusu kupelekewa vyakula kutoka nyumbani. Kweli sometimes mchimba kaburi huingia mwenyewe!
 
Narudia masikini anajulikana kwa mienendo yake tu
naona unajifariji, msionacho mna tabu sana,uyo bwana ako Sabaya Lazima akajazwe mimba kisongo, ndio Atajua Kuna wenye Nchi sasa,yule chizi sialikuwa anampa kiburi uku kaskazini,

naona wewe ndio ulikuwa mpambe wake wakuzulula nae kwenye madanguro na kwenye maduka ya watu kuiba, na Lazima afie jela kabla ya hukumu, take it from me japo inauma sanaaa,ila pigia mstari ilo kijana,

Samia anataka aongoze Nchi bila majambazi Kama Sabaya,
na ana mashtaka mengine yakuichafua UN kwenye ujambazi wake,yashakuwa tayari yatajumlishwa,
uyo anafia jela 100%✓✓
 
Back
Top Bottom