Arusha: Ole Sabaya na wenzake wamefikishwa Mahakamani, kesi yaahirishwa
Aliyekua DC wa Hai Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake leo wamefikishwa tena kwenye Mahakama ya Wilaya iliyopo Sekei Arusha, ili kujibu tuhuma zinazowakabili, Sabaya na wenzake wanakabiliwa na mashtaka matano.

Itakumbukwa June 04,2021 Sabaya na wenzake walifikishwa Mahakamani hapo ambapo baadaye Tumaini Kweka, Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Taifa ya Mashtaka anayeshughulika na usimamizi wa kesi alisema———-“uchunguzi katika baadhi ya makosa yanayomkabili Lengai na wenzake umefikia kwenye kiwango ambacho tunasema ni tamati ya kuweza kuwafikisha Mahakamani”

“Mkurugenzi wa Mashtaka baada ya kujiridhisha kwamba kweli tuhuma zilizokua zinamkabiki Lengai na wenzake kisheria zinatengeneza kosa akaamua leo wafikishwe Mahakamani, kama mlivyoona alikua akituhumiwa kuongoza magenge ya kihalifu, vitendo vya rushwa, kutakatisha fedha haramu ambayo ni matokeo ya vitendo vya rushwa”

“Vilevile Mkurugenzi alijiridhisha kwamba kuna unyang'anyi wa kutumia silaha, ndio maana amefikishwa Mahakamani leo kwa hayo makosa matano lakini kwa unyang'anyi wa kutumia silaha ni makosa mawili aliyatenda katika wakati mmoja lakini kwa wakati tofautitofauti, na kama tuhuma nyingine zitathibitika basi Mkurugenzi wa Mashtaka ataamua vinginevyo"

Zaidi, soma: Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

My Take: Mahakama na DPP huu ndiyo wa kutuaminisha umahiri wenu. Chapa ilale

======

PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa

View attachment 1822516View attachment 1822517View attachment 1822519
View attachment 1822525
Namwona sabaya kama ana bibilia mkononi kweli duniani hakuna kinachoshindikana aisee gereza c mchezo kumbe hata shetani anaweza kuokoka ni suala la muda tu
 
CCM mbele kwa mbele
CCM miaka 100 tena

Apandacho mtu ndicho avunancho na asiyejua maana haambiwi maana
Duuh kweli akufaae wakati wa dhiki ndie rafiki. Unamnanga kada mtiifu mwenzako badala ya kumpa moyo?
 
Kuahirisha kesi wiki mbili mbili uliye nje unaweza ona ni muda mdogo ila ukiwa ndani ndiyo utaelewa wanavyosema "Kama jela kuzuri mpeleke mwanao"
Hapana Mkuu, kama ni kuzuri uende mwenyewe na siyo kumpeleka mwanao.
 
Aliyekua DC wa Hai Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake leo wamefikishwa tena kwenye Mahakama ya Wilaya iliyopo Sekei Arusha, ili kujibu tuhuma zinazowakabili, Sabaya na wenzake wanakabiliwa na mashtaka matano.

Itakumbukwa June 04,2021 Sabaya na wenzake walifikishwa Mahakamani hapo ambapo baadaye Tumaini Kweka, Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Taifa ya Mashtaka anayeshughulika na usimamizi wa kesi alisema———-“uchunguzi katika baadhi ya makosa yanayomkabili Lengai na wenzake umefikia kwenye kiwango ambacho tunasema ni tamati ya kuweza kuwafikisha Mahakamani”

“Mkurugenzi wa Mashtaka baada ya kujiridhisha kwamba kweli tuhuma zilizokua zinamkabiki Lengai na wenzake kisheria zinatengeneza kosa akaamua leo wafikishwe Mahakamani, kama mlivyoona alikua akituhumiwa kuongoza magenge ya kihalifu, vitendo vya rushwa, kutakatisha fedha haramu ambayo ni matokeo ya vitendo vya rushwa”

“Vilevile Mkurugenzi alijiridhisha kwamba kuna unyang'anyi wa kutumia silaha, ndio maana amefikishwa Mahakamani leo kwa hayo makosa matano lakini kwa unyang'anyi wa kutumia silaha ni makosa mawili aliyatenda katika wakati mmoja lakini kwa wakati tofautitofauti, na kama tuhuma nyingine zitathibitika basi Mkurugenzi wa Mashtaka ataamua vinginevyo"

Zaidi, soma: Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

My Take: Mahakama na DPP huu ndiyo wa kutuaminisha umahiri wenu. Chapa ilale

======

PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa

View attachment 1822516View attachment 1822517View attachment 1822519
View attachment 1822525
Siyo aliyekuwa sema DC wa Hai aliyesimamishwa kazi. Mwenzako pamoja na kuwa lock up bado analipwa mshahara nusu mpaka atakapofukuzwa kazi au kufungwa
 
Ni dalili ya makosa kufutwa na kodi zetu kumlipa fidia
Labda umlipe wewe fidia ya kumpa masaburi,

Uyo ushaidi wake upo dhahiri, Kama we ndio kimada wake nakushauri tafuta tu bwana mwingine, Next week UN nao wanamfungulia kesi pia
 
Jela sio mchezo Wakuu, Jambazi Sabaya anakimbilia umodo Kwa kasi ya ajabu
 
Kwel mataga mmechanganyikiwa,so kuvaa suti kunakufanya ucwe jambazi sugu????kweli bi.Kirembwe aliwaroga mkarogeka
Nilijua tu lazima umtaje bi kirembwe maana bila kumtaja mimba yake aliyokuachia ingesababisha utapike siku nzima ya leo
 
Back
Top Bottom