King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Tunajua kwamba kesi husomwa kila baada ya wiki mbili mbili endapo wakihahirisha ila kwa huyu JAMBAZI inatakiwa isomwe kila baada ya miezi 6 sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitumia silaha eti ee?Kwani hao wanaolipa faini si makosa yao yanafanana na ya sabaya tu?
DuhKesho nitamtembelea, nitampelekea mafuta na sabuni
mbona wafungwa wanamzomea?
Kwahiyo point hapo ni neno silaha tu ndio linalokuchanganya?Walitumia silaha eti ee?
Upelelezi haujakamilika?Kesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
limeshaisha kwa wiki mbili tu. Walikuwa wanaona raha kuwasukumiza wenzao tena kwa kesi za kubambikizaAkae huko huko kisongo mpaka tako lote na shavu aliloenda nalo pale clauz litokomee.
Wacha watalam wapeleleze kwa taratibu ili wajiridhishe vizuri🤣🤣Upelelezi haujakamilika?
Akiwa bado ana nguvu asaidie kukuza uchumi gerezanihuyu kesi zake zote ushahidi ni wa kumwaga, tunataka aanze kazi ya uzalishaji mageleza kwetu akiwa angali kijana !!
Hajielewi huyo!Please save this comment [emoji847]
Kabisa, huku Lisu akiendelea kula raha kwa bwanaamsterdamChama imara kinajijenga kila kuchwao
Wacha Mama Samia ajikusanyie kura za mi15 tena[emoji5][emoji5][emoji5]
Huoni kama hayo ni maandalizi ya kesi kufutwaWacha watalam wapeleleze kwa taratibu ili wajiridhishe vizuri[emoji1787][emoji1787]
"unaweza kuta hakuwa rumande" ww ni mkuu wa gereza ?Sabaya kwanza unaweza kukuta hakuwa rumande!
Na atawashinda mapema tu! Au ataambiwa alipe faini kwa DPP kama kina SETH
Ilitakiwa aje hapo anachechemea uyo jambazi sugu, Hawa KM (special force) wa magerezani wametuangusha kwakweliAliyekua DC wa Hai Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake leo wamefikishwa tena kwenye Mahakama ya Wilaya iliyopo Sekei Arusha, ili kujibu tuhuma zinazowakabili, Sabaya na wenzake wanakabiliwa na mashtaka matano.
Itakumbukwa June 04,2021 Sabaya na wenzake walifikishwa Mahakamani hapo ambapo baadaye Tumaini Kweka, Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Taifa ya Mashtaka anayeshughulika na usimamizi wa kesi alisema———-“uchunguzi katika baadhi ya makosa yanayomkabili Lengai na wenzake umefikia kwenye kiwango ambacho tunasema ni tamati ya kuweza kuwafikisha Mahakamani”
“Mkurugenzi wa Mashtaka baada ya kujiridhisha kwamba kweli tuhuma zilizokua zinamkabiki Lengai na wenzake kisheria zinatengeneza kosa akaamua leo wafikishwe Mahakamani, kama mlivyoona alikua akituhumiwa kuongoza magenge ya kihalifu, vitendo vya rushwa, kutakatisha fedha haramu ambayo ni matokeo ya vitendo vya rushwa”
“Vilevile Mkurugenzi alijiridhisha kwamba kuna unyang'anyi wa kutumia silaha, ndio maana amefikishwa Mahakamani leo kwa hayo makosa matano lakini kwa unyang'anyi wa kutumia silaha ni makosa mawili aliyatenda katika wakati mmoja lakini kwa wakati tofautitofauti, na kama tuhuma nyingine zitathibitika basi Mkurugenzi wa Mashtaka ataamua vinginevyo"
Zaidi, soma: Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha
My Take: Mahakama na DPP huu ndiyo wa kutuaminisha umahiri wenu. Chapa ilale
======
PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa
View attachment 1822516View attachment 1822517View attachment 1822519
View attachment 1822525
Kingine ilitakiwa leo aje anachechemea Jambazi uyoMbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.Hii sio dabo standard kweli