mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
hata waziri mkuu mstaafu lowasa aligeukwa ndio chadema wakamchukua sembuse sabaya🙄🙄🙄Kulikoni ccm mnageuka sabaya hali kapambania chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata waziri mkuu mstaafu lowasa aligeukwa ndio chadema wakamchukua sembuse sabaya🙄🙄🙄Kulikoni ccm mnageuka sabaya hali kapambania chama
Sabaya kwanza unaweza kukuta hakuwa rumande!
Na atawashinda mapema tu! Au ataambiwa alipe faini kwa DPP kama kina SETH
Iko hivi ,hawa madogo walivokua wanateuliwa wanapewa nyaraka zakazi kisheria lakini kunanyaraka zinatolewaga kwamdomo mfano..nimekuteua kua mkuu wawilaya wilaya ya HAI ,nakutuma hakikisha mbowe na watu wanyuma yake wamekwisha ,nitakulinda...ukiwa mjinga utajikuta husomi hatasheria zinakuongozaje mipaka yako ,utoke Kilimanjaro hadi HAI ,kweli mkuu wilayaMbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.
NI KWELI KABISA NDUGU NAONA HII KESI KAMA INATAKA KUFIKA TAMATI HALAF TUAMBIWE KAPIGWA FAINI MILLION 20 NA KIFUNGO CHA LULUMbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.
Hahahaaa, na iwe hivyo kabisa"Upelelezi wake bado haujakamilika"-kasentensi katamu sana haka, hii ngoma inaweza kwenda hadi 2025 kwa kutumia tu hako kasentensi.
Itakuwa ni dabo standard,NI KWELI KABISA NDUGU NAONA HII KESI KAMA INATAKA KUFIKA TAMATI HALAF TUAMBIWE KAPIGWA FAINI MILLION 20 NA KIFUNGO CHA LULU
Kweli nimeamini maisha hayana baunsaKesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa
View attachment 1822492View attachment 1822493View attachment 1822494
View attachment 1822496
View attachment 1822497
Ndo madhara ya kuondoa semina elekezi akihisi anabana matumizi kumbe ameleta janga.Sabaya hakujua mipaka ya DC sababu hakuwa na semina elekeziIko hivi ,hawa madogo walivokua wanateuliwa wanapewa nyaraka zakazi kisheria lakini kunanyaraka zinatolewaga kwamdomo mfano..nimekuteua kua mkuu wawilaya wilaya ya HAI ,nakutuma hakikisha mbowe na watu wanyuma yake wamekwisha ,nitakulinda...ukiwa mjinga utajikuta husomi hatasheria zinakuongozaje mipaka yako ,utoke Kilimanjaro hadi HAI ,kweli mkuu wilaya
Kweli nimeamini maisha hayana baunsa
Kujifanya Mzalendo zaidi ameamua kubeba na kitabu cha Historia ya Mwendazake.Kesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa
View attachment 1822492View attachment 1822493View attachment 1822494
View attachment 1822496
View attachment 1822497
Sasa sabaya atatoka lini jela ahamie chadema naamini atakuwa moto Sana kuibomoa ccmhata waziri mkuu mstaafu lowasa aligeukwa ndio chadema wakamchukua sembuse sabaya🙄🙄🙄
Ila ipo Siku hukumu itatoka tuKesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
PICHA: Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake, wakiwasili mahakamani mkoani Arusha kwenye kesi yao, leo Juni 18,2021 Ijumaa
View attachment 1822492View attachment 1822493View attachment 1822494
View attachment 1822496
View attachment 1822497
Itakuwa kampelekea hiyo Kaunda suti na viatu
Msiba ni mzunguko usipofiwa usidhani utofiwaWalidhani ni untouchable
Mbona viongozi wa Chadema walipokuwa wakitupwa rumande na kushtakiwa kiuonevu ulijawa na furaha, au furaha siyo hisia?Tunacho taka vyombo vyetu vifanye kazi kwa weledi, kamwe visikubali kuendeshwa ama kusukumwa na maneno ya vijiweni, majungu, fitina na chuki za kisiasa.
Sheria zizingatiwe, tusiongozwe na hisia au dhana.