Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ushahidi ni ile zomeazomea ya leo.Kuambiwa mwizi huyooo ,muuaji siyo ishara nzuri.Though he pretends confident, but deep inside anajijua yeye ni shetani, na macho yote ya watu yanayomtazama yanamuona hivyo.
ya milele...aminakukawe makaazi yake
Kinisongo=kisongoKinisongo supu hakuna
Hivi mbona watu walikuwa wanazomea yy anapunga mkono[emoji134]Tunajua kwamba kesi husomwa kila baada ya wiki mbili mbili endapo wakihahirisha ila kwa huyu JAMBAZI inatakiwa isomwe kila baada ya miezi 6 sita.
Tena shetani anakukana liveNamwona sabaya kama ana bibilia mkononi kweli duniani hakuna kinachoshindikana aisee gereza c mchezo kumbe hata shetani anaweza kuokoka ni suala la muda tu
Hapana wacha afundishwe sheria zinavyopashwa kufanya kazi pamoja na maana ya utawala wa sheria.Huyo madhambi yake yako wazi sana kulikuwa hamna haja ya kumpeleka mahakamani bali alitakiwa apelekwe jela moja kwa moja kukawe makaazi yake
Halafu eti anapunga mkono masikini[emoji22]Pawa sabaya anazomewa teh....
Kwani kasingiziwa?Tunacho taka vyombo vyetu vifanye kazi kwa weledi, kamwe visikubali kuendeshwa ama kusukumwa na maneno ya vijiweni, majungu, fitina na chuki za kisiasa.
Sheria zizingatiwe, tusiongozwe na hisia au dhana.
Hao wanaomzomea tunawajua Ni CHADEMA sio wananchi .
Ngoja aendelee kufokolewa tu na wajuba wa KisongoAdhabu kabla ya hukumu!
Anapigwa 30 za Armed afu anaendelea sikilizia hizo zingineYote tisa kumi hili kosa ni balaa, dogo akizubaa anakula mvua za maisha!! yaani inaitwaga niagieni, iagieni!
Armed Robbery haina PleaAtalipa Faini kwa DPP kama ilivyo kwa Singasinga alafu nyie bavicha mnabaki mmekenua mimeno tu
Hivi mbona watu walikuwa wanazomea yy anapunga mkono[emoji134]
Ahahahaa Gamboz
Hana namna inabidi acheke....Halafu eti anapunga mkono masikini[emoji22]
Eti " jambazi hiloo
Yy anachekelea tu au wenge??
Lazima walimtekenya ili ushahidi ukamilikeHuyo Baunsa anayeshuka kwenye kalandinga kavunjwa mguu?
Mkuu@FUSO ,majambazi, mafisadi na masadist Tanzania yetu wote wana kadi za CCM. Kadi za CCM ndio kinga kwa wahalifu wote.CCM mbona kimya hivyo? huyu si ni mwanachama wao.
baada ya jamaa kutuvurugia mifumo yote, sasa taratibu tunaanza kurudi kwenye kitu inaitwa "rule of law" inatia moyo walau.Nyakati hizi ni za utawala wa sheria