Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kweli hizi ni zama zingine. Enzi za JPM upumbavu kama uliotokea hapo Mahakamani Arusha usingeweza kutokea. Lakini wewe endelea kuyashabikia, siku mkeo akipigwa mtungo mbele yako na ukawa huna la kufanya zaidi ya kumuuliza "wamekuumiza sana?" ndio utajua JPM alikuwa nani nchi hii. Wacha sisi wengine tuendelee kumlilia JPM!!!!Pole mfuasi wa mwendazake, msipokubali ukweli kuwa ile maiti hairudi basi mtapata tabu na mtakosoa kila kitu.
Kama mnampenda sana jiueni mfe mumfuate motoni.
Tuliza kipago hicho, safari hii hata mkif*rwa mtalalamika kwa sababu mwendazake hayupo.Kweli hizi ni zama zingine. Enzi za JPM upumbavu kama uliotokea hapo Mahakamani Arusha usingeweza kutokea. Lakini wewe endelea kuyashabikia, siku mkeo akipigwa mtungo mbele yako na ukawa huna la kufanya zaidi ya kumuuliza "wamekuumiza sana?" ndio utajua JPM alikuwa nani nchi hii. Wacha sisi wengine tuendelee kumlilia JPM!!!!
Matendo waliyoshuhudia,na pia wametoa somo kwa wapandisha mabega wote.JANA NIMEFIKIRIA MENGI SANA NA NIMEOGOPA :::
Inakuwaje Watu wanajikusanya Eneo la Mahakama na Kuanza kuzomea zomea !!! Zamani tumesoma kwenye Vitabu kuwa Eneo la Mahakama panahitaji Ukimya Mkubwa sana na watu hamruhusiwi kupiga kelele za aina yoyote ile ila jana nimeshangaa sana kilichotokea pale Sekei kiukweli.
Tunaambiwa "No body is Guilty until proven by the court", sasa kwa nini Mahakama imeruhusu hiyo Zomeazomea?
Unawazungumziwa vipi waliopigwa misumati na sabaya kudhurumiwa na kubakwa uku shujaa wa afrika akimfumbia macho na masikio huyo mwendazake wewe utamkumbuka kwa mazuri kama alivyokuamuru na wengine watamkumbuka kwa mabaya yakeKweli hizi ni zama zingine. Enzi za JPM upumbavu kama uliotokea hapo Mahakamani Arusha usingeweza kutokea. Lakini wewe endelea kuyashabikia, siku mkeo akipigwa mtungo mbele yako na ukawa huna la kufanya zaidi ya kumuuliza "wamekuumiza sana?" ndio utajua JPM alikuwa nani nchi hii. Wacha sisi wengine tuendelee kumlilia JPM!!!!
Mwendazake ndiye alikuwa na hiyo βtendencyβ ya kuacha wafanye ujambazi na lolote wanalotaka dhidi ya wananchi kwasababu tu anamdhibiti Mbowe. Nyie ndiyo mnataka issue hii ionekane ya kisiasa kwa kusema kuwa eti ujambazi wake na ukatili ni suala bora kabisa kwasababu amemtendea Mbowe ushenzi.Habari wadau..!
Nimefuatilia kesi ya Sabaya nikaona imejawa vichekesho na maigizo kama bongo movie yaani inaanza lakini unajua wapi itaishia.
Hii inatokana na jinsi mashitaka aliyopewa Sabaya yamekaa kichuki chuki tu zidi yake .
Unaaambia mkuu wa wilaya kabaka haiiingii akilini hivi hawa mabinti wa siku hizi walivyo mserereko hata kwa kiyepe yai ,yaani mkuu wa wilaya amtake demu usawa huu harafu demu akatae anapata wapi huo ujasiri wa kumkatalia mkuj wa wilaya nani mwenye uthubutu wa kupiga teke kapo la hela.
Unaambia mkuu wa wilaya kafanya ujambazi kakwapua 30,000/ = na 300,000/= haiingii akilini ,ni uzushi mtupu .Hakuna mkuu wa wilaya mwenye njaa ya kahela kama hacho.
Hizi ni chuki za Mbowe baada ya kudhibitiwa na kijana mdogo na kuukosa ubunge leo anataka kulipiza kisasa kwa Sabaya kwa njia nyingine.
Ila soon ukweli utawekwa wazi ,siku zote wanakwambia uongo unapanda lift lakini ukweli unakuja na bajajiπππ
Mjiandae kisaikolojia ππ
View attachment 1823420
Huo ni mwanzo siku akihukumiwa,mji mzima utalipuka kwa shangwe.Mimi nimeelewa Kuwa hiyo comment ina maanisha mafisadi na watu wenye pesa wako tiari kwenda kuhonga vikundi ili vimzomee sabaya
Wanasema mtapata tabu Sana,bora myakubali matokeo.Hujachangia kistaarabu, aliyesababisha zomea zomea alikuacha kiongozi wakati wa mwenda zake, ulitakiwa ueleze udhaifu uliouona unaohusu Mahakama siyo kusema mafisadi sijui nini wamerudi, acha mahaba.
Kusema ukweli pale Mahakama imeonyesha udhaifu, nahisi haitajirudia.
Kumbe ni kweli kuwa ccm ni chama cha majambazi? Hao walifanya uharamia na ukatili wanavyotaka, na kitu kiliwalinda na kupata sapoti ya mwendazake, ni Mbowe. Maana jamaa alikuwa akimchukia vibaya mno. Na pia aliwachukia sana wqchagga yule mwendazake. Hilo Mbona liko wazi?Hakuna wa kumfunga Sabaya, hayupo, ispokuwa Sabaya ndo defense ya CCM right now ..... Na wanajua thamani yake , jamaa atakuja kuwa kiongozi mkubwa Sana mbeleni
Mkuu weka wewe unalolijua ili tukusome sisi tusiojua.Huna unalojua kijana ,upo dsm kwa shemeji yako ,unakuja unaongea pumba tupu
Kwanini tukuamini wewe?Sabaya hawez rudi mtaani tena
Niaamin Mimi zile kesi hawez chomoa mzee
We tulia tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kanyang'anywa kwa nguvu za Dola.Mwenyekiti kapoteza Jimbo,
Hakuna tena zile mishe za nyagi Dom.
Lazima awe na hasira.
Hivi kwa nini haupendi kujifikirisha zaidi ya hapo?Habari wadau..!
Nimefuatilia kesi ya Sabaya nikaona imejawa vichekesho na maigizo kama bongo movie yaani inaanza lakini unajua wapi itaishia.
Hii inatokana na jinsi mashitaka aliyopewa Sabaya yamekaa kichuki chuki tu zidi yake .
Unaaambia mkuu wa wilaya kabaka haiiingii akilini hivi hawa mabinti wa siku hizi walivyo mserereko hata kwa kiyepe yai ,yaani mkuu wa wilaya amtake demu usawa huu harafu demu akatae anapata wapi huo ujasiri wa kumkatalia mkuj wa wilaya nani mwenye uthubutu wa kupiga teke kapo la hela.
Unaambia mkuu wa wilaya kafanya ujambazi kakwapua 30,000/ = na 300,000/= haiingii akilini ,ni uzushi mtupu .Hakuna mkuu wa wilaya mwenye njaa ya kahela kama hacho.
Hizi ni chuki za Mbowe baada ya kudhibitiwa na kijana mdogo na kuukosa ubunge leo anataka kulipiza kisasa kwa Sabaya kwa njia nyingine.
Ila soon ukweli utawekwa wazi ,siku zote wanakwambia uongo unapanda lift lakini ukweli unakuja na bajajiπππ
Mjiandae kisaikolojia ππ
View attachment 1823420
Umeandika upuuzi mtupu!Habari wadau..!
Nimefuatilia kesi ya Sabaya nikaona imejawa vichekesho na maigizo kama bongo movie yaani inaanza lakini unajua wapi itaishia.
Hii inatokana na jinsi mashitaka aliyopewa Sabaya yamekaa kichuki chuki tu zidi yake .
Unaaambia mkuu wa wilaya kabaka haiiingii akilini hivi hawa mabinti wa siku hizi walivyo mserereko hata kwa kiyepe yai ,yaani mkuu wa wilaya amtake demu usawa huu harafu demu akatae anapata wapi huo ujasiri wa kumkatalia mkuj wa wilaya nani mwenye uthubutu wa kupiga teke kapo la hela.
Unaambia mkuu wa wilaya kafanya ujambazi kakwapua 30,000/ = na 300,000/= haiingii akilini ,ni uzushi mtupu .Hakuna mkuu wa wilaya mwenye njaa ya kahela kama hacho.
Hizi ni chuki za Mbowe baada ya kudhibitiwa na kijana mdogo na kuukosa ubunge leo anataka kulipiza kisasa kwa Sabaya kwa njia nyingine.
Ila soon ukweli utawekwa wazi ,siku zote wanakwambia uongo unapanda lift lakini ukweli unakuja na bajaji[emoji23][emoji23][emoji23]
Mjiandae kisaikolojia [emoji23][emoji23]
View attachment 1823420
JF inazidi kupoteza hadhi yake kila kunapokucha, katika mashtaka aliyosomewa Sabaya kuna kosa la ubakaji?Habari wadau..!
Nimefuatilia kesi ya Sabaya nikaona imejawa vichekesho na maigizo kama bongo movie yaani inaanza lakini unajua wapi itaishia.
Hii inatokana na jinsi mashitaka aliyopewa Sabaya yamekaa kichuki chuki tu zidi yake .
Unaaambia mkuu wa wilaya kabaka haiiingii akilini hivi hawa mabinti wa siku hizi walivyo mserereko hata kwa kiyepe yai ,yaani mkuu wa wilaya amtake demu usawa huu harafu demu akatae anapata wapi huo ujasiri wa kumkatalia mkuj wa wilaya nani mwenye uthubutu wa kupiga teke kapo la hela.
Unaambia mkuu wa wilaya kafanya ujambazi kakwapua 30,000/ = na 300,000/= haiingii akilini ,ni uzushi mtupu .Hakuna mkuu wa wilaya mwenye njaa ya kahela kama hacho.
Hizi ni chuki za Mbowe baada ya kudhibitiwa na kijana mdogo na kuukosa ubunge leo anataka kulipiza kisasa kwa Sabaya kwa njia nyingine.
Ila soon ukweli utawekwa wazi ,siku zote wanakwambia uongo unapanda lift lakini ukweli unakuja na bajajiπππ
Mjiandae kisaikolojia ππ
View attachment 1823420
swali zuri sana ila ungeuliza au nikuulize wewe kwanini unafikiri alizomewa? hapo ndipo utatibu tatizo,tibu chanzo utaepusha matokeo!JANA NIMEFIKIRIA MENGI SANA NA NIMEOGOPA :::
Inakuwaje Watu wanajikusanya Eneo la Mahakama na Kuanza kuzomea zomea !!! Zamani tumesoma kwenye Vitabu kuwa Eneo la Mahakama panahitaji Ukimya Mkubwa sana na watu hamruhusiwi kupiga kelele za aina yoyote ile ila jana nimeshangaa sana kilichotokea pale Sekei kiukweli.
Tunaambiwa "No body is Guilty until proven by the court", sasa kwa nini Mahakama imeruhusu hiyo Zomeazomea?
mwenyekiti ndio kafungua kesi au serikali?Mwenyekiti kapoteza Jimbo,
Hakuna tena zile mishe za nyagi Dom.
Lazima awe na hasira.
mataga pori hapa tayari umeshapanic π€£ π€£ π€£Mbowe nae ulimpelekea ?