peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kuna kila uwezekano Lengai ole sabaya kuzomewa na wananchi kwa unnyama alioufanya Hadi wa kuhasi binadamu.pili hakuzomewa akiwa ndani ya mahakama . Ushauri mdogo,sabaya kuishi jela ni hauweni kwake,uraiani raia watamfanya hakunaNobody is Guilty until proven by the Court. why waliruhusu azomewe??
Kubali tu kuwa ume- loose ili uachane na hizo denial zenu! He had gone forever! Swala la alikuwa Nani tuambie wewe maana wengine watakupa majibu yatakakupeleka kwenye depression na ukafa kweli! Let it go ili usonge mbele!Kweli hizi ni zama zingine. Enzi za JPM upumbavu kama uliotokea hapo Mahakamani Arusha usingeweza kutokea. Lakini wewe endelea kuyashabikia, siku mkeo akipigwa mtungo mbele yako na ukawa huna la kufanya zaidi ya kumuuliza "wamekuumiza sana?" ndio utajua JPM alikuwa nani nchi hii. Wacha sisi wengine tuendelee kumlilia JPM!!!!
Una ndoto nzuri....ndoto.Hakuna wa kumfunga Sabaya, hayupo, ispokuwa Sabaya ndo defense ya CCM right now ..... Na wanajua thamani yake , jamaa atakuja kuwa kiongozi mkubwa Sana mbeleni
Uliwahi kufikri kama hao wanaoachiwa sasa hivi wangeachiwa kwa makubaliano na DPP?nitakunya kariakoo hadi ubungo. huyu kwanza uongozi wa umma asahau maisha yake yote. na akishafungwa mtakuja tena hapa kujifariji kuwa kafungwa miaka kidogo. huyu akimaliza arusha moshi wanae tena. kupangua kesi zote ni mpaka mwakani mwezi kama huu na hapo ashanyea ndoo vya kutosha
Eti suti kupwayaKesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
Kiongozi wa watu ama wa nani.Hakuna wa kumfunga Sabaya, hayupo, ispokuwa Sabaya ndo defense ya CCM right now ..... Na wanajua thamani yake , jamaa atakuja kuwa kiongozi mkubwa Sana mbeleni
Kwa hiyo anza kujichanga ili akipata nafasi ya kulipishwa fine ,uweze kumrejesha uswahilini.Uliwahi kufikri kama hao wanaoachiwa sasa hivi wangeachiwa kwa makubaliano na DPP?
Kila kitu kitampwaya hadi nguo za ndani.Kesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
Today is built on yesterday and tomorrow is under today. We never forget the past dude. We live it!Kubali tu kuwa ume- loose ili uachane na hizo denial zenu! He had gone forever! Swala la alikuwa Nani tuambie wewe maana wengine watakupa majibu yatakakupeleka kwenye depression na ukafa kweli! Let it go ili usonge mbele!
Mkandarasi mmoja wa barabara mhindi alishiriki na sabaya kuihujumu serikali. Sabaya anateseka mwenyewe gerezani Ila mhindi anaponda raha mjini.Kila kitu kitampwaya hadi nguo za ndani.
Kabisa,Kwa hiyo anza kujichanga ili akipata nafasi ya kulipishwa fine ,uweze kumrejesha uswahilini.
Usichokijua Hadi sasa huyo ni wajela tu ,hakuna namnaKabisa,
Hujui kituUsichokijua Hadi sasa huyo ni wajela tu ,hakuna namna
Wewe ni mjuzi mmbobezi wa mambo , ndoto yako itatimia.Hujui kitu
Siyo ndoto ni uhalisia,!Wewe ni mjuzi mmbobezi wa mambo , ndoto yako itatimia.
KSiyo ndoto ni uhalisia,!
Kwani Singasinga ukiwahi kufikiri atatolewa?
Ila eye hakufanya matendo ya kinyama dhidi ya binadamuSiyo ndoto ni uhalisia,!
Kwani Singasinga ukiwahi kufikiri atatolewa?
Kukuibia mabilioni siyo unyama?K
Ila eye hakufanya matendo ya kinyama dhidi ya binadamu