CCM mbona kimya hivyo? huyu si ni mwanachama wao.
 
JAMBAZI afikishwa mahakamani.

GOD FATHER wake huko mawinguni kwa malaika haoni hili, si alikuwa anampa kiburi?
Bado Juma Raibu na wenzake
 
Mbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.
Wamuwahishe tu kumpeleka huko Mahakamani, na ikiwezekana wamfunge kabisa mapema iwezekanavyo, ili Mataga wenzake waache kuanzisha nyuzi humu kila baada ya dakika kadhaa kumlilia Mataga na jambazi mwenzao.
 
"Upelelezi wake bado haujakamilika"-kasentensi katamu sana haka, hii ngoma inaweza kwenda hadi 2025 kwa kutumia tu hako kasentensi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…