G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 599
- 1,125
Hata Katoliki inaunga mkono uwekezaji, kinachopingwa ni huu Mkataba wa kinyonyaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo za mitandaoni.Ilikuwa mapema sana kumpa uongozi wa nchi mwanamke! Mwanamke uwa hajali chochote linapofikia suala la maslahi yake! Hata kama ni kusambaratisha familia yake na ndoa yake. Uyu mama ameshapokea takrima ya muarabu hawezi kusikia chochote tena hata kama ni kuuza kitanda anacholalia yeye na mumewe.
Kuna cost kubwa kuwanenea uongo watumishi wa Mungu.me ni kkkt ndo mana nimeacha kwenda kanisan kanisa limejaa wanafiki weng kuanzia maskofu… wachungaji na wainjilist mpk wazee wa kanisa wamejawa na unafik
🤣🤣🤣Mbona sasa rais anachanganya dini na siasa? Au ameingia kanisani kama muumini wa kkkt?
Shoo ni kama amejitetea kwanini wao hawawezi kutoa msimamo.Usilembe lugha. Mwambie Rais kuwa hii rangi ni nyeusi na si nyeupe.
Unakuwa umemsaidia zaidi kuliko kumpaka mafuta kwa mgonho wa chupa.
Katiba inarekebishwa kesho, sema itabidi aachie diocese, sema diocese ina pipi zaidi ya kuwa mkuuShoo hagombei tena labda kama watafanikiwa kurekebisha Katiba kabla ya Uchaguzi
Kwa hiyo ulitaka kama kanisa tusemeje ? Kumbuka amesema mkuu wakanisa letu walikwenda ofisini kwake"ikulu" kutoa maoni ya kinachoendelea kuhusu Dp world. Tusubiri majibu kanisa hilli halijawahi kukunja kucha mikono na karamu zake kwenye kuonya na kukemea. Kanisa limeonyaWanaleta ishu za martin luther aliyejimegua kutoka ukatoliki hata ktk myakati hizi ngumu za msukosuko wa bandsri?
TEC ndio wanaligawa taifa kwa kuchanganya siasa na dini🔨Ccm wameshaligawa taifa au ilitakiwa nani aligawe taifa. Maana kuna huduma huwezi kupata unaambiwa tafuta kadi ya ccm.
Ata huku makazini unaambiwa ccm kwanza wengine baadae
Huyu na wenzake hawalagi pesa za escrow ndo mana wana busaraUsilembe lugha. Mwambie Rais kuwa hii rangi ni nyeusi na si nyeupe.
Unakuwa umemsaidia zaidi kuliko kumpaka mafuta kwa mgonho wa chupa.
Hawa watu Wana wake na watoto, wanahitaji matunzo, wakifanya mchezo wamekwisha. Katoliki Hana la kumuweka roho juu juu.me ni kkkt ndo mana nimeacha kwenda kanisan kanisa limejaa wanafiki weng kuanzia maskofu… wachungaji na wainjilist mpk wazee wa kanisa wamejawa na unafik
Wasikupotoshe vipanga wa JF, hakuna mahali Askofu Shoo amesema anaukubali mkataba wa DP.Japokua mimi mwenyewe nimrutheran ila huu ujinga sikubaliani nao
TEC ndio wanaligawa taifa kwa kuchanganya siasa na dini[emoji375]