That’s may be true . The church has a long history of war and crime . Ila bora kuwa mpagani sio kuwa KKKT . Kanisa limeundwa kihuni . History yake yakihuni , SADAKA NDO ZINA LISHA FAMILIA YA MKE ,WATOTO , MICHEPUKO na Ukoo mzima wa askofu , mchungaji na washirika . HIVI UNAENDA CHURCH KUPIGWA PESA MMLISHE MWINGINE na familia yake . Na worse that wachungaji Na askofu hata walipo toka aijulikani ni kupeana tu uchungaji kupiga pesa . Bora MAKANISA YA KILOKOLE SIO KKKT MAANA AMNA TOFAUTI . Both ni vikundi ya kihuni . Shule amna
Hivi unaongea nini na pastor wa kkkt ?