MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Sijui kwanini mnakurupuka!Walete hawa wataambiwa hawana elimu pia😅😅😅😅.
Kikundi cha watu wachache hawawezi kuzuia maendeleo ya nchi kwa matamko yao ya mchongo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini mnakurupuka!Walete hawa wataambiwa hawana elimu pia😅😅😅😅.
Kikundi cha watu wachache hawawezi kuzuia maendeleo ya nchi kwa matamko yao ya mchongo .
Nilikwambia wewe ni kilaza!Hili ndo kanisa sasa. Ndo mana sikuwaskia Maaskofu wao kwenye escrow!
Uzii huu upokelewe JF Check tafadhali!Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Safi mkuu!Umemnukuu vibaya. Kasema Kanisa lina imani na Rais na linaunga mkono katika juhudi za serikali za kuendeleza uchumi. kwa DP World kasema walimwendea Rais na akawapokea na kuwasikiliza na akawaahidi kufanyia kazi maoni yao so wanamwamini bado kuwa atayafanyia kazi.
Acha kukurupuka wewe!Erthyrocyte yupo ?!!!
Komredi Mshana Jr yupo ?!!! [emoji1787][emoji1787]
#Nchi Kwanza[emoji120]
Nimeshangaa sana.Wewe ni mpotoshaji mkuu!
Amesema...."Tunaunga mkono uwekezaji wenye Tija"
Na sio huu ambao tulikwisha kuja kukuona na kukueleza dosari zake!
Nyie ni vilaza kweli kweli, mmesikiliza comment yake hadi mwisho? Acheni upotoshaji nyie kunguni!!Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
VIDEO:
View attachment 2724093
Jamani askofu kasema anaunga mkono uwekezaji.Madhehebu ya Dini yana Katiba zao hivyo kila jambo hulitazama kulingana na Katiba zao zinavyosema
Nampongeza Sana Askofu mkuu Dr kwa Kusoma alama za nyakati
Wataendaje Wasipopelekwa?!
Mungu ni mwema wakati wote 😄
Mama yupo mbioni kuuza kwa waarabuHakuna mwenye ubavu wa kuuza Nchi
Nilijua Kuna namna upotoshaji umefanyika!Wewe ni mpotoshaji mkuu!
Amesema...."Tunaunga mkono uwekezaji wenye Tija"
Na sio huu ambao tulikwisha kuja kukuona na kukueleza dosari zake!
Hakuna mwenye ubavu wa kuligawa taifaHuu mkataba wa DP World utakuwa una matatizo ndio maana hata Rais anakosa courage ya kuusifia waziwazi.
Naona kama anaendelea kujificha ingawa alipata jukwaa zuuri ya kumaliza utata uliopo lakini hakufanya hivyo!!!.