Wewe si mtoa sadaka tu, huna faida nyingine pale.Mimi ni KKKT kuanzia UBUNGO hata kipindi usharika wa SINZA ujaanzishwa pale THB sinza pale KUMEKUCHA nikuwepo
viongozi wetu wa kkkt semeni ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si mtoa sadaka tu, huna faida nyingine pale.Mimi ni KKKT kuanzia UBUNGO hata kipindi usharika wa SINZA ujaanzishwa pale THB sinza pale KUMEKUCHA nikuwepo
viongozi wetu wa kkkt semeni ukweli
Kijana mimi ni mwana CCM mbobezi fuatilia comments zangu labda umeanza siku hizi siasa.Wewe leta ukweli alio usema kupinga bila evidance boro ukae kimya.
Sababu ya udhaifu wenu ndiyo maana hata kusoma mmeshindwa mmebaki kumtaja Dr. KitimaHata wakatoliki sio wote wafuasi wa Kitima na Dr Slaa...
Interesting
Amesema...."Tunaunga mkono uwekezaji wenye Tija"Nadhani ndiyo maana Rais alienda kuhudhuria maadhimisho! Alikuwa amehakikishiwa kusifiwa!
Hivi ndivyo Wakristo tunavyochekwa!
Serikali inafanya divide and rule; well and good, twendeKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Umesikia walichosema au unaamini upotoshaji wa mleta uzi huu?KKKT ni wapuuzi sana. Akili zao ni sawa na akili za BAKWATA.
Escrow si JK muumini mwenzenu alisema zile pesa siyo za UMMA?Hili ndo kanisa sasa. Ndo mana sikuwaskia Maaskofu wao kwenye escrow!
Kwahyo apo kkkt hawachanganyi dini na siasa sio??Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Shoo hajaukubali mkataba wenu feki huo msimuwekee maneno aibu clip inajieleza vizuri tuShoo alisema huyo Raisi ni wapwke japo wengi hawakupenda uongozi wake (RC)
Hakuna mwenye ubavu - Samia Suluhu Hassan.hayakuhusu, wewe subiri yanayokuhusu
Hivi huyu Shoo amekula mlungula au amekuwaje? Ameunga mkataba kama ulivyo au ameunga nusunusu? Hawa KKKT ni wapuuzi hata kuliko BAKWATA. Wapuuzi na wachumiatumbo wakubwa! Mungu anawaona na atawalaani milele!Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Chuo cha Tumaini Makumira – Arusha leo tarehe 21 Agosti, 2023.
Hii Ngeta ambayo mmepigwa kwenye hili Hamtoki....ndio uzuri wa shule...Safi sana,tena amesema viongozi wa dini walienda kukutana na Rais na wakatoa maoni Yao
Swali Hili.la TEC limetoka wapi? Upuuzi wa kujifanya wao ni spesho sana hapa Tanzania
Hatutoki wapi? KKKT sio wanafiki kama hao wengineHii Ngeta ambayo mmepigwa kwenye hili Hamtoki....ndio uzuri wa shule...