mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator wa JF pana jamaa anawashika sharubu huku...Kuwasigia K.K.
K.T kuna ubaya? Mbwa nyie
KKKT ni wapuuzi sana. Akili zao ni sawa na akili za BAKWATA.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
hayakuhusu, wewe subiri yanayokuhusuUshauri wao ulikuwa ni upi?
Hebu fafanua zaidiAskofu Shoo hawezi kukosa akili kiasi hicho, hata kama naye kapewa mgao wa lile fungu la Dubai
Acha kutukana wakatoliki wenzio utapata dhambi bure, amini cha wenzako ili na wao waamini cha kwako.KKKT ni wapuuzi sana. Akili zao ni sawa na akili za BAKWATA.
Naona alikuwa anawalenga wale S GangShoo alisema huyo Raisi ni wapwke japo wengi hawakupenda uongozi wake (RC)
Anapotosha watu, anatakiwa ale Ban.Fake news his na Kama kkkt wameunga mkono uwekezaji mm nahama kanisa
Usikurupuke,hujamuelewa Askofu wewe. Wamempa Mh. rais mtihani mgumu kuliko unavyofikiri.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
Rushwa kivipi? Kwani kaongea uongo?Rushwa hutia upofu.
Subiri siku ipinduke ndo tutaujua ukweli.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
How do we report him..?Anapotosha watu, anatakiwa ale Ban.
Ni kuripoti huu uzi kwa Mods waufute na mhusika ale ban.