Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Nenda kwenye post yake no.1 kushoto chini kuna sehemu ya Report bonyeza weka amelezo alafu utamalizia na kubonyeza ReportHow do we report him..?
Nielekeze nifanye kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye post yake no.1 kushoto chini kuna sehemu ya Report bonyeza weka amelezo alafu utamalizia na kubonyeza ReportHow do we report him..?
Nielekeze nifanye kazi.
Mzee usidanganywe na mleta mada. Shoo wala hajaunga mkono. Aliyeleta mada humu kaandika uongo.KKKT ni wapuuzi sana. Akili zao ni sawa na akili za BAKWATA.
Nitawaaminije hawa maboya wanaotetea wizi wa rasilimali za taifa? Wewe huna uchungu na rasilimali za taifa? Kuwa mzalendo mkuu. Au wewe sio raia wa nchi hii?Acha kutukana wakatoliki wenzio utapata dhambi bure, amini cha wenzako ili na wao waamini cha kwako.
Naona mnawaliwaza maulamaa wssiofahamu maana ya warakaKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Hajaunga mkono kama mwenye uzi anavyopotosha. Kampa za uso na tulitegemea hivyo.Hata wakatoliki sio wote wafuasi wa Kitima na Dr Slaa...
Interesting
Thanks for the nice clarification!Wewe ni mpotoshaji mkuu!
Amesema...."Tunaunga mkono uwekezaji wenye Tija"
Na sio huu ambao tulikwisha kuja kukuona na kukueleza dosari zake!
Wewe leta ukweli alio usema kupinga bila evidance boro ukae kimya.Mzee usidanganywe na mleta mada. Shoo wala hajaunga mkono. Aliyeleta mada humu kaandika uongo.
Thank you, I just did that.Nenda kwenye post yake no.1 kushoto chini kuna sehemu ya Report bonyeza weka amelezo alafu utamalizia na kubonyeza Report
Mpasuko gani? Hivi nyie watu ni vichaa eeh?Huu mpasuko ambao unatengenezwaa.. isipotumika hekima badae itakuwa na picha picha nyingi sana
Na uzuri Rais akajibu kwa ujumla kwamba changamoto zipo, wamezichukua na wanazifanyia kazi. Sijamnukuu vizuri labda nitakapopitia video yake.Hajaunga mkono kama mwenye uzi anavyopotosha. Kampa za uso na tulitegemea hivyo.
ndio kichaaa mwenzetuMpasuko gani? Hivi nyie watu ni vichaa eeh?
Kua mzalendo ni kulataa uwekezaji au kushabikia vikundi vinavyo pinga bila kutupa mkataba mbadala wa huo wanao upinga.Nitawaaminije hawa maboya wanaotetea wizi wa rasilimali za taifa? Wewe huna uchungu na rasilimali za taifa? Kuwa mzalendo mkuu. Au wewe sio raia wa nchi hii?
Ndugu zetu KKKT wameshindwa kuwa straight leo. Dr Shoo kazunguka saaana kujieleza [emoji1787]
Msikilize hapa short clip yeye mwenyewe.Ningeshangaa kama Shoo angekubali ujinga huu. Ngoja nimshtaki kwa Moderator ampige ban.
Hapo jana kanisani alisema hayo.View attachment 2724060