Hapa ameikana cdm mazimaMuulize m-K.K.K.T Mbowe kama anakubaliana na haya maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ameikana cdm mazimaMuulize m-K.K.K.T Mbowe kama anakubaliana na haya maneno
Mama kasema wazi "hakuna mwenye ubavu". Kama mnabisha endeleeni kumjaribu tu.Wanaleta ishu za martin luther aliyejimegua kutoka ukatoliki hata ktk myakati hizi ngumu za msukosuko wa bandsri?
Kwa hiyo naye kaingiza siasa kanisani, mbele ya rais? Au inazuiliwa kwa yule anayesema hapana?Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Nikujuze tu "once a system always a system".Muulize m-K.K.K.T Mbowe kama anakubaliana na haya maneno
watu kwa kugeuza kauli. Acha kumlisha maneno askofuKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Mimi ni kweli mtoa sadaka pale sinza , ila kwa hili la askofu SHOO ilibidi aseme hii HAPANAWewe si mtoa sadaka tu, huna faida nyingine pale.
Hakuna sehemu wamesema Do world waje. Wamesema uwekezaji upi?Nikujuze tu "once a system always a system".
Labda kama anawang'ong'aKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Umemnukuu vibaya. Kasema Kanisa lina imani na Rais na linaunga mkono katika juhudi za serikali za kuendeleza uchumi. kwa DP World kasema walimwendea Rais na akawapokea na kuwasikiliza na akawaahidi kufanyia kazi maoni yao so wanamwamini bado kuwa atayafanyia kazi.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Acha kupotosha watu bi Kidude. Shayo na KKKT yake hawajabariki wizi wa chifu HangayaNikujuze tu "once a system always a system".
Mwenye video iliyo kwa namna nzuri atuwekee hapa. 👆Hii haifunguki.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
VIDEO:
View attachment 2724093
we mama vipi, mbona sikuelewi? Mkishakula na kushiba huwa mnatokwa ufahamuKuwasigia K.K.
K.T kuna ubaya? Mbwa nyie
Nisaidie Al Hassan Hadith 16245Mama kasema wazi "hakuna mwenye ubavu". Kama mnabisha endeleeni kumjaribu tu.