Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli hili ndio kanisa la mfano sio wale wazee wa maokotoHili ndo kanisa sasa. Ndo mana sikuwaskia Maaskofu wao kwenye escrow!
Kwahiyo TEC ni wanafiki tu au?Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha ameeleza kuwa viongozi wa dini wakiwemo KKKT, TEC, BAKWATA, CCT na wengineo walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha mwanzo na kuzungumza kwa mapana juu ya suala la uwekezaji wa kampuni ya DP World katika bandari ya Dar Es Salaam.
Katika kikao hicho, viongozi wa dini waliwasilisha maoni yao ikiwemo matatizo wanayoyaona na Serikali imeahidi kuyafanyia kazi.
Naongelea IGA na Sio HGA halafu kwa taarifa yako ni vigumu saa mimi kudanganyika na upande wwote kwa sabbu sisimmi na upande wowote ule ila naangalia Logic na facts....Tatizo umeweka mihemko sana huwezi kuona facts kuna sheria ya maliasiri,Sheria za TPA na sheria za ardhi Tatizo lako hujui kitu halafu unabishana na hiyo ndo tofauti yangu na weweUmedanganywa ukadanganyika.
Sheria ipi imebadilishwa iendane na mkataba? Mkataba upi unauongelea?
Nadhani majibu ni baada ya Diip weld wakianza kazi rasmiBykwani rais aliwambia anatoa majibu lini?
Muanzisha thread anapotosha wanaJF.Wewe ni mpotoshaji mkuu!
Amesema...."Tunaunga mkono uwekezaji wenye Tija"
Na sio huu ambao tulikwisha kuja kukuona na kukueleza dosari zake!
Ndo wakatoa Tamko Hao TECKwa hiyo?
Acha kupotosha watu, tuko live tunasikiliza alafu unaweka maneno yako.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Kwa utaratibu Dr hawezi mchallenge namba 1 uso uso protocal tu hapo zimefatwaIssue ya Dp world amesema wazingatie ushauri wao. Hajasema wanaunga mkono uwekezaji wa Bandari huu ni uongo na naona same message mnaizungusha mitandaoni.
BTW hili pia limechangiwa na Dr Shoo kushindwa kunyoosha maelezo. Obvious hotuba ya Shoo leo itatumika vyema mitandao yote [emoji1787]
Mtego wa nini?Mtego huo ,madalali wataingia KING.
Haya maneno FaizaFoxy ameyasikia kweliKamchana live bila kupepsa macho.kasema kabisa kama hawatazingati ushauri waliokubaliana basi wakianza mashambulizi wasiaambie kuwa wasichanganye dini na siasa.kingine kamwambia inakuwaje makaa ya mawe kila siku yanauzwa na faida hatuoni?kwa nini tusiyachakate wenyewe.Kazi kwenu machawa wa mama.
Hapo jana kanisani alisema hayo.FAKE NEWS
😅😅😅😅Ngoja washikake kwanza.Kipindi cha pili jamaa wanajifunga wenyewe hapa katika uwanja wa uhuru, moja moja sasa, mtanange ni mkali sana hapa katika dimba la uwanja wa uhuru, kwako mwalimu kashasha😁😁