Arusha: Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT - Agosti 21, 2023
Mpaka TEC wametoka front ujue hakuna kinachofanyiwa kazi, zaidi sana Shera zinabadilishwa hao mabwana wavune kiulani, mkataba wenyewe hata kutoka hadharani umetoka kimagumashi, hapakuwa na nia njema tangu mwanzo.
 
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha ameeleza kuwa viongozi wa dini wakiwemo KKKT, TEC, BAKWATA, CCT na wengineo walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha mwanzo na kuzungumza kwa mapana juu ya suala la uwekezaji wa kampuni ya DP World katika bandari ya Dar Es Salaam.

Katika kikao hicho, viongozi wa dini waliwasilisha maoni yao ikiwemo matatizo wanayoyaona na Serikali imeahidi kuyafanyia kazi.
Kwahiyo TEC ni wanafiki tu au?
 
Kipindi cha pili jamaa wanajifunga wenyewe hapa katika uwanja wa uhuru, moja moja sasa, mtanange ni mkali sana hapa katika dimba la uwanja wa uhuru, kwako mwalimu kashasha😁😁
 
Umedanganywa ukadanganyika.

Sheria ipi imebadilishwa iendane na mkataba? Mkataba upi unauongelea?
Naongelea IGA na Sio HGA halafu kwa taarifa yako ni vigumu saa mimi kudanganyika na upande wwote kwa sabbu sisimmi na upande wowote ule ila naangalia Logic na facts....Tatizo umeweka mihemko sana huwezi kuona facts kuna sheria ya maliasiri,Sheria za TPA na sheria za ardhi Tatizo lako hujui kitu halafu unabishana na hiyo ndo tofauti yangu na wewe
 
Umechagua ku quote tu sehemu yako unayoona inakupendeza kudanganya umma ila Shoo hajasema hayo. Kasema maoni yao kama dini zote, waliyafikisha kwa pamoja wakiwa na viongozi wote wa CCT, TEC na BAKWATA kwenye mkutano binafsi na Mh Rais, na yeye anaamini Mh Rais atayafanyia kazi, na kama hatayafanyia kazi, basi asije akasema dini inaletwa kwenye siasa wakianza kutoa maoni mengine. Msipende kupotosha umma, mambo ya hovyo sana mnafanya.
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.


Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha.
Acha kupotosha watu, tuko live tunasikiliza alafu unaweka maneno yako.
 
Issue ya Dp world amesema wazingatie ushauri wao. Hajasema wanaunga mkono uwekezaji wa Bandari huu ni uongo na naona same message mnaizungusha mitandaoni.

BTW hili pia limechangiwa na Dr Shoo kushindwa kunyoosha maelezo. Obvious hotuba ya Shoo leo itatumika vyema mitandao yote [emoji1787]
Kwa utaratibu Dr hawezi mchallenge namba 1 uso uso protocal tu hapo zimefatwa
 
Kamchana live bila kupepsa macho.kasema kabisa kama hawatazingati ushauri waliokubaliana basi wakianza mashambulizi wasiaambie kuwa wasichanganye dini na siasa.kingine kamwambia inakuwaje makaa ya mawe kila siku yanauzwa na faida hatuoni?kwa nini tusiyachakate wenyewe.Kazi kwenu machawa wa mama.
Haya maneno FaizaFoxy ameyasikia kweli
 
FAKE NEWS
Hapo jana kanisani alisema hayo.
Screenshot_20230821-140353_Facebook.jpg
 
Kipindi cha pili jamaa wanajifunga wenyewe hapa katika uwanja wa uhuru, moja moja sasa, mtanange ni mkali sana hapa katika dimba la uwanja wa uhuru, kwako mwalimu kashasha😁😁
😅😅😅😅Ngoja washikake kwanza.
 
Back
Top Bottom