Arusha: Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT - Agosti 21, 2023
shoo asituletee ujinga mimi kama mlutheli USHARIKA wa SINZA , naunga mkono waraka wa WAROMA
Hakuna mahali askofu Shoo amesema wanaunga mkono mkataba wa Dpw. Kasema wanaungamkono uwekezaji. Kuna watu wanajaribu kupotosha jamii hapa, kwamba kkkt wameunga mkono mkataba. Sio kweli. Enyi watu, sikilizeni hotuba ya askofu wenyewe
 
Ilikuwa mapema sana kumpa uongozi wa nchi mwanamke! Mwanamke uwa hajali chochote linapofikia suala la maslahi yake! Hata kama ni kusambaratisha familia yake na ndoa yake. Uyu mama ameshapokea takrima ya muarabu hawezi kusikia chochote tena hata kama ni kuuza kitanda anacholalia yeye na mumewe.
 
Askofu Shoo ni mtu mkweli sio mnafiki, Mungu amlinde awe hivyohivyo.

Maana unafiki na ufitini ni dhambi mbaya sana.
 
Ilikuwa mapema sana kumpa uongozi wa nchi mwanamke! Mwanamke uwa hajali chochote linapofikia suala la maslahi yake! Hata kama ni kusambaratisha familia yake na ndoa yake. Uyu mama ameshapokea takrima ya muarabu hawezi kusikia chochote tena hata kama ni kuuza kitanda anacholalia yeye na mumewe.
Kama hukujaaliwa akili na hekima pole
 
Hakuna mahali askofu Shoo amesema wanaunga mkono mkataba wa Dpw. Kasema wanaungamkono uwekezaji. Kuna watu wanajaribu kupotosha jamii hapa, kwamba kkkt wameunga mkono mkataba. Sio kweli. Enyi watu, sikilizeni hotuba ya askofu wenyewe
 
Hawa Katoliki na KKKT hawakumbuki maneno ya Yesu "Ya Kaisari mwachie Kaisari"

Haya madhehebu ya kuwa nayo makini sana naona Biblia wamezifunga sasa wamekuwa wanasiasa

Yesu huko mbinguni atakuwa anasikitika sana.
 
Madhehebu ya Dini yana Katiba zao hivyo kila jambo hulitazama kulingana na Katiba zao zinavyosema

Nampongeza Sana Askofu mkuu Dr kwa Kusoma alama za nyakati

Wataendaje Wasipopelekwa?!

Mungu ni mwema wakati wote 😄
Kwa ujumla msimamo wa Dr. Shoo ni mbaya zaidi na wa hatari sana kwa mkataba.
1. Wamewaweka njia panda Waislam waliokuwa wanaushambulia ukristo. Sasa itabidi wawashambulie wakatoliki na kuungana na walutheri
2. Wameacha room for negotiations lkn mkataba lazima utupwe kwa kurudishwa bungeni.
3. Wamemsaidia vizuri Rais sasa atakaposima atasema amepokea ushari wao.

Wameonesha ukomavu. Maake wangeungana na TEC wangeonekana wamekosa msimamo. Thesis vs antithesis tunaelekea sasa kwenye Synthesis.

Kijana wao atakuwa VP 2025 ili kujipanga na Urais 2030. JM kwaheri
 
Ccm wameshaligawa taifa au ilitakiwa nani aligawe taifa. Maana kuna huduma huwezi kupata unaambiwa tafuta kadi ya ccm.

Ata huku makazini unaambiwa ccm kwanza wengine baadae
 
Back
Top Bottom