richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
usikute ulieandika huu uzi ni mwislam mimi mwenyewe ni KKKT usharika wa , siungi mkono upuuzi wa huyu mama period…hawa ndio Wakristo pekee Tanzania [emoji1241]! Hao wengine ni genge la wahuni waliosababisha vita na migogoro yote Duniani!
[emoji1485] Vita kuu ya kwanza na ya pili ya Dunia, chanzo ni wao!
[emoji1485] Mauaji ya kimbari Rwanda, Namibia, chanzo ni wao!
[emoji1485] Vita inayoendelea Congo, CAR, na sehemu nyengine Duniani, chanzo ni hao hao wanaojiita «Waroma» wakati hawana uraia wa Italy! [emoji16][emoji706][emoji706][emoji706]
[emoji117]