usikute ulieandika huu uzi ni mwislam mimi mwenyewe ni KKKT usharika wa , siungi mkono upuuzi wa huyu mama period
 
Jitahidi ule vizuri na utumie dawa zako kwa wakati kadiri ulivyoelekezwa.Kupona utapona tu ila ni kwa mbinde sana.Bwana akurehemu!
 
Acha ushabiki....
Hapo linachoangaliwa na maslahi ya Nchi....
Sio kutulana watu.
 
Unaweza kuwa na majibu ya hiki kitu?
Your browser is not able to display this video.
 
Jitahidi ujibu hoja zao kwa hoja ili mjadala ukamilike.
 
Hawa katoliki walifuta na kuondoa vitabu zaidi ya 14 kwenye biblia na haikuishia hapo walipitisha adhabu kali kwa mtu yoyote ambaye sio padri kumiliki biblia usisahau walishiriki kwenye mauaji ya mamilioni ya watu huko rwanda mauaji ya kimbari

Yani padri au askofu katoliki usimwami ni spy wa roma na yote haya ni kwasababu ya teknolojia itakayo tumika katika mfumo wa bandari na mizigo haita ingia bure zile kampuni uchwara za clearing and fowarding zitakufa zote

Tech wamezingua sana
 
jikite kwenye suala la mkataba wa bandari. Kuwatukana hakutafanya mkataba uwe na maslahi kwa taifa. Kisha uende Djibuti ambako nchi yote 100% ni waislamu, ukajifunze kwa nini wameifurusha dp world ya waislamu wenzao.

Kisha ujiulize kwa nini wajenzi wa bwawa la umeme na sgr ambao ni waislamu hawapigiwi kelele?
 
Acha ujinga na ujuha, wanajielewa kivipi? Jibuni hoja za TEC acheni kuweweseka na kutafuta kuungwa mkono na vikundi visivyo na ushawishi. KKKT ni kitu gani mbele ya TEC ?
 
Mimi ni mkkkt ndaki linapokuja swala maslahi ya wote kama taifa u kkkt nauweka mfukoni haijalishi nani kasema. Hata angesema mufti kutetea rasilimali za nchi ningemuunga mkono
 
KKKT SADAKA ZINA LISHA FAMILIA YA MKE NA WATOTO NA MICHEPUKO YA MASKOFU NA WACHUNGAJI . Kanisa limejaa njaa na wachumia tumbo . 😂😂😂 Kuwa serious . Hivi kuna kanisa la kitapeli kama kkkt . Maana alina tofauti na makanisa ya kilokole . Ni kikundi cha wahuni wanapeana uchungaji wapige pesa . WATU MNAENDA MAKANISANI KUPIGWA . Wanaubiri sadaka tu KKKT . I DOUBT UMOJA UTAPATIKANA KWA HILI SWALA . Nimekaa pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…