CCM wenye akili na vyama vya upinzani wote wamegoma kucheza ngoma ya Makonda

CCM wenye akili na vyama vya upinzani wote wamegoma kucheza ngoma ya Makonda

Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi??

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Ningependa kujua ukweli: Paul christian makonda na daud Albert Bashite ni watu wawili tofauti au ni mtu mmoja?
 
Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi??

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Imenibidi niangalie ID yako mara mbilimbil. Kumbe sametimes akili huwa zinakuludia?
 
Mwache apige sanaa zake akishamaliza kazi aliyotumwa atatupwa kama toilet paper hataamini.
 
Ningependa kujua ukweli: Paul christian makonda na daud Albert Bashite ni watu wawili tofauti au ni mtu mmoja?
According to Gwajima,Paul Makonda the real name ni Albert Bashite...
 
Loh! The Big Show, kuna wakati naona nilifanya kosa kukuweka pamoja na akina Mwamshambwa. Kumbe nilifanya kosa. In this presentarion you have argued sensibly and professionally.

Watu walio wahi kuwa karibu na Makonda, wanasema huyu bwana, kipaji pekee kikubwa alicho nacho ni unafiki. Kwenye hili watafute watoto wa Hayati Samwel Sitta, watakuambia.

Wanasema, hata wewe hapo, leo hii ukawa na madaraka makubwa, Makonda akawa ana nafasi ya kukufikia, ndani ya muda mfupi, vitimbwi atakavyokufanyia, unaweza kudanganyika kuwa hapa Duniani hakuna mtu anayekupenda, kukuheshimu na kukuthamini kama Makonda.

Makonda alipopata nafasi ya kumfikia Hayati Samwel Sita, alikuwa anawasiliana naye mara nyingi kuliko watoto wake, alikuwa anaenda kumwona Sita mara nyingi kuliko watoto wake, na akifika nyumbani kwa Sita alihangaika kufanya kila kilichowezekana ili ionekane tu kuwa yeye ni bora kuliko mwingine yeyote hapo nyumbani. Wanafamilia wanadai ilifikia wakati Mzee Sita alimwona Makonda ni bora kwa kila kitu kuliko wanawe, hata akashiriki katika kupatikana kwa vyeti vya kununua ili Makonda akasome.

Ukumbuke wakati Kikwete akiwa Rais, Makonda alithubutu hata kumfungia kamba za viatu Ridhiwani. Alimnyenyekea Ridhiwani kwa kiwango cha ajabu, hata ikifikia Ridhiwani kumpigia debe Makonda kwa Baba yake ili apewe ukuu wa Wilaya. Kumbe mapenzi yale yote aliyokuwa akiyaonesha yalikuwa bandia, na unafiki mtupu. Na hiyo ilikuja kuthibitika Kikwete alipoondoka madarakani.

Makonda ni mwovu kwa asili yake. Akiwa hajawa Mkuu wa Wilaya, alimbaka binamu yake, wakayamaliza kiundugu. Alipokuwa RC, ndipo alipofanya uchafu mwingi wa ajabu, mpaka mauaji. Kila aliyemsema vibaya Magufuli, Makonda alitaka kumwonesha Magufuli kuwa yeye amesikitishwa na kukasirishwa na jambo hilo kuzidi hata Magufuli mwenyewe. Alifanya uovu mwingi, hadi kuua watu waliomsema vibaya Magufuli ili kumrubuni Magufuli aamini kuwa hapa Duniani hakuna mtu aliyekuwa anampenda yeye Magufuli kama Makonda. Mtu mwovu wa namna ya Makonda hawezi kuwa na moyo wa kupigania haki za watu wakati yeye mwenyewe ni dhulumati mkubwa. Mtu anayeona kudhulumu roho za watu ni jambo la kawaida, ataumizwa vipi na kudhulumiwa mtu kiwanja? Yeye mwenyewe akiwa RC Dar alidhulumu kiwanja cha familia ya Chacha kilichopo Capripoint, kilichokuwa kinunuliwe na msaidizi wake, halafu leo ndiyo aumizwe na mtu aliyedhulumiwa kiwanja?

Anachokifanya Makonda, ni kuangalia angle iliyo rahisi kuwarubuni watu ili malengo yake maovu yatimie.

Wala siyo ajabu, kwa muda mfupi, Rais Samia akikosa tu uwerevu atamwamini Makonda kuliko hata familia yake. Ila cha ajabu, pale Rais Samia atakapotoka Madarakani, na Makonda akawa kwenye nafasi ya uongozi, atatumika kumnyanyasa au kuinyanyasa familia yake.

Mnafiki ni kama mwizi, hana rafiki. Urafiki unaokuwepo ni wa kutengeneza mazingira ya kumwezesha kukifikia anachotaka kukiiba.

Kuna siku lazima Rais Samia atakuja kujuta, kama ilivyojuta familia ya Kikwete wakati Makonda akiwa RC.
Kama unasoma trend za nyuzi zake

Huyu Big yeye hampendi Makonda sababu ni alikuwa mtu wa Magufuli na Hadi Leo Makonda role Model wake ni Magufuli

Huyu Big yeye ni mfuasi wa Mama na Dini ya Mnyazi Mungu , anachoumia ni popularity anayopata Makonda tu basi na si kingine

Yote kwa yote , siasa ni Sabotage , Manipulation na Sympathy hivi vyote Makonda kaviweza na amewin , wengine wameshindwa na kinachombemba zaidi anatumia Magufuli Style ambayo ndio definition ya Siasa za Tanzania kwa Sasa , ili ukubalike fanya Magufuli Style
 
Kama unasoma trend za nyuzi zake

Huyu Big yeye hampendi Makonda sababu ni alikuwa mtu wa Magufuli na Hadi Leo Makonda role Model wake ni Magufuli

Huyu Big yeye ni mfuasi wa Mama na Dini ya Mnyazi Mungu , anachoumia ni popularity anayopata Makonda tu basi na si kingine

Yote kwa yote , siasa ni Sabotage , Manipulation na Sympathy hivi vyote Makonda kaviweza na amewin , wengine wameshindwa na kinachombemba zaidi anatumia Magufuli Style ambayo ndio definition ya Siasa za Tanzania kwa Sasa , ili ukubalike fanya Magufuli Style
Kiasi flani uko sahihi,kiasi flani hauko sahihi.

Ni kweli Mimi ni mfuasi wa Samia lakin siyo Kwa mrengo huo unaosema.

Siyo kweli kuwa namchukia Bashite,kutoa mtazamo wangu msela hutakiwi kujenga chuki,huu ni mtazamo TUH...
 
Makonda ni levo Moja na kina Mwamposa wanaomfwata ni wale wanaotazamia miujiza ktk maisha Yao ambao ni 75% ya wananchi wa nchi hii
 
Ukisoma vizuri historia ya Hitler, Mussolini nk, utaona picha halisi ya Magufuli na Makonda. Watu waovu huanza kama watu wenye Nia njema, na hutumia nguvu kubwa kujificha kwa wanyonge, lakini wakipata madaraka hufikia kufanya Hadi mauaji ya halaiki. Na mara mara nyingi hujifanya kumtaja Mungu mdomoni Ili kupumbaza watu, lakini dhamira zao huwa mbali sana na Mungu.

Upo sahihi sana. Ukimtazama Makonda na historia yake, unaona kabisa ni mtu aliyebeba roho ya shetani na mwenye hila zote za shetani. Mkis
hadaika tu, lazima mjute. Fikiria huyu ndiye mtu alipanga na kusimamia zoezi zima la kutaka kumwua Lisu, mtu ambaye hakuwa na hatia yoyote, lakini kwake kuyaondoa maisha ya Lisu lilikuwa ni jambo la kumfurahisha na kujivunia, kama angefanikiwa.
 
Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi??

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Ccm na Mwenyekiti wake waliompa hicho cheo wanafahamu yote hayo ila walimpa uenezi kwa sababu wanazojua wao.
 
Friends and our enemies,

'Anyone can become angry - that is easy.But to be angry with the right person,to the right degree,at the right time,for the right purpose,and in the right way - this is not easy.(ARISTOTLE,The Nicomachean Ethics).

'How you do anything,is how you do everything'...(Dante Alighieri)

Wahenga wanasema kwamba 'Kazi ya polisi,waachie polisi' (Leave the police work to the police), same applies kwenye siasa,wapo wanaosema kwamba kazi ya siasa waachie wanasiasa,lakini tukisema tuwaachie wanasiasa hii siasa pekeyao bila hata ya sisi watawaliwa kutoa mitazamo yetu matokeo yake ni kulia na kusaga meno.

Makonda au Bashite ni yule yule,hajawahi kubadilika,the way anavyofanya harakati zake ni vile vile ambavyo amekuwa siku zote anazifanya tokea amefahamika na hadhira ya macho yetu.

Miaka kadhaa iliyopita kipindi akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,JIJI lile halikuacha kuwa na heka heka na pilika kila siku,leo aite mkusanyiko na wamama wajane,kusikiliza kero zo,,kesho yake aite mkusanyiko na boda boda,mtondogoo aite mkusanyiko na walemavu na kadhalika.

Na katika hiyo mikusanyiko yake yoote kipindi hiko kilichokuwa kinafanyika ni kama hiki anachoendelea nacho sasa (How you do anything,is how you do everything)

Kilichotofautiana ni kwamba kwa sasa amepata milege ya kuvuka nje ya boda ya himaya yake ya awali na amepata coverage ya kuzungumzia vitu vingi zaidi ili aweze kuendelea kuvuta attention na sympathy za watu.

Nimependa sana namna ambavyo CCM wenyewe wenye kujitambua walivyoamua kukaa kimya na kumuachia uwanja aendelee na harakati zake,na siyo CCM pekee hata VYAMA VYA UPINZANI,pamoja na kwamba Makonda amekuwa anawachimba chimba na kuwachokonoa hakuna hata mmoja ambae amejaribu kucheza ngoma ya Makonda,ni ukweli usio na shaka kuwa wanamjua ni mtu wa aina gani na kujiingiza kwenye ngoma hiyo ni kujipotezea focus ya kufanya yale yaliyo ya msingi.

Makonda,anafanya kitu ambacho anahisi ni sahihi bahati mbaya sana approach ambayo anaitumia ni kujiweka karibu na kutumia mwamvuli wa mwenyekiti wa chama badala ya kutumia nguvu ya chama katika kuendesha ajenda zake,ni yale yale ambayo alikuwa anayafanya kipindi cha mwendazake ya kujiweka katika position ambayo ni yeye ni RC Muhimu zaidi ya wengine kias cha kufikia hatua ya kusema kuwa yeye ana nafasi kubwa katika nchi hii kuliko hao viongozi wengine,na hao wakubwa wao wanajua.,kiufupi ni RC ambae alikuwa untouchable kiasi kwamba hata pale alipovunja sheria kwa kuvamia Clouds Fm Kwa bunduki waziri aliekawa anahusika na habari alipojaribu kuingilia kati alipoteza nafasi yake kwa kutetea haki kisha yeye mvunja haki Makonda akaendelea kupeta.

Makonda ana haja gani ya kutembelea NYOTA ya Rais Samia kwa kusema kwamba anayofanya yoote katumwa na mwenyekiti wa chama aliemteua badala ya kusema kuwa hayo ni maagizo ya chama??implication yake ni ile ile ya kutaka kuonesha yeye ni smart kuliko wenzake machoni mwa mwenyekiti wa chama ili hali collectively chama hiko ni nguvu ya watu wengi??

Hakika ukimchambua Makonda unaona wazi wazi motive yake ya kujijenga zaidi yeye kuliko chama chake kupitia matatizo ya wananchi ambayo hata hivyo hayajawahi kupungua ndani ya TAIFA HILI,kwani lini Makonda amewahi kuwa MSAFI hadi afikie hatua ya kuguswa sana na haya wanayofanyiwa wananchi??

Nawapongeza CCM na VYAMA VYA UPINZANI waliotambua kuwa hiyo ngoma ni ngoma ya mchiriku na kuigomea kuicheza,kwa kuwa ''HOW MAKONDA IS DOING ANYTHING,IS HOW HE IS DOING EVERYTHING''...
Ni Wivu tu. Aliyemteua anajua how Makonda is smart and potential. Ni mtu anayeamua kufuga mbwa namna na rangi gani. Kama Rais katika woooote kaona huyo ndo the best we ni nani unamkosoa?
 
Ni Wivu tu. Aliyemteua anajua how Makonda is smart and potential. Ni mtu anayeamua kufuga mbwa namna na rangi gani. Kama Rais katika woooote kaona huyo ndo the best we ni nani unamkosoa?
So wewe unatuambia chochote anachosema/anachofanya rais ni sahihi? Kwamba akishakuwa tu rais basi hata akikulisha kinyesi kwako ndio the best meal you deserve!
Unamwondolea rais ubinadamu na kumpa u-Mungu?
 
Upo sahihi sana. Ukimtazama Makonda na historia yake, unaona kabisa ni mtu aliyebeba roho ya shetani na mwenye hila zote za shetani. Mkis
hadaika tu, lazima mjute. Fikiria huyu ndiye mtu alipanga na kusimamia zoezi zima la kutaka kumwua Lisu, mtu ambaye hakuwa na hatia yoyote, lakini kwake kuyaondoa maisha ya Lisu lilikuwa ni jambo la kumfurahisha na kujivunia, kama angefanikiwa.
utakufa Vibaya sana
 
Wakisema CCM chama maana yake kina kila aina ya wataalamu.

Kila mtu anajua they can ‘rig election’ kwa katiba ya sasa na kushinda. Ila mule ndani kuna watu wamebobea kwenye siasa wanafahamu umuhimu wa kupata ridhaa ya wananchi au kuonekana wanayo.

Makonda hayupo kwa sababu ya kufurukana na CDM (unless inapobidi) au kufurahisha chawa wa mama (ambao wengi ni anti-Magufuli) au wanaomuunga mkono kwa sababu za kidini.

Makonda yupo kwa sababu ya strategists wa chama, atimize lengo lao (washauri wa raisi Ikulu na kwenye chama wanaoangalia siasa kwa uhalisia).

Kazi ya strategists ni kutoa mapendekezo how best to trouble shoot the problem of declining support ya raisi and how best to mobilise support ya chama kwa wapiga kura ‘charm offensive’ (hiyo ndio kazi anayofanya Makonda).

Huyo Rajabu Lhuwavi mshauri wa raisi kwenye maswala ya siasa ni Mzanzibari (alikuwa mshauri wa JK pia kwenye siasa na ndio aliemleta Magufuli) CV yake inajumuisha senior army officer wa JWTZ (kapigana vita Kagera), mtaalamu wa siasa, diplomat nyuma ya pazia (kabla ya hata kupewa ubalozi na Magufuli) na ukisikia walinzi wa chama ndio watu wa aina hiyo (wao wanachojali ni Tanzania kwanza na CCM) nothing else matters, huyu ndio aliewafunga uhamsho sio Kikwete.

Kama sio umri Lhuwavi ana sifa za kuwa mkurugenzi wa TISS unadhani watu kama hawa as strategist wanajali chawa mnafikiria nini au wanasiasa ambao ascendancy yao ni connection ya baba zao, au awajui how rotten the system is na warekebishe vipi kupata kura.

Don’t waste your time kudhani huko CCM muda huu watakusikiliza ujinga utakaoandika kuhusu Makonda. Eti CCM halisi, unaijua CCM halisi wewe au unaropoka tu.

Personally, sijui Makonda amepikwa vipi na yupo level gani; ila anachofanya ni kazi ya system bila ya yeye kujua au kuto kujua.

Nje ya chawa, ‘bi-tozo’ ana maisha halisi ya kutaka support ya wananchi. We unadhani ukija hapa kutetea teuzi zake za kidini ndio mwisho wa support anazotaka kisiasa kuelekea uchaguzi ujao.
 
So wewe unatuambia chochote anachosema/anachofanya rais ni sahihi? Kwamba akishakuwa tu rais basi hata akikulisha kinyesi kwako ndio the best meal you deserve!
Unamwondolea rais ubinadamu na kumpa u-Mungu?
Wewe umeshalishwa? Umekionaje?
 
Upo sahihi sana. Ukimtazama Makonda na historia yake, unaona kabisa ni mtu aliyebeba roho ya shetani na mwenye hila zote za shetani. Mkis
hadaika tu, lazima mjute. Fikiria huyu ndiye mtu alipanga na kusimamia zoezi zima la kutaka kumwua Lisu, mtu ambaye hakuwa na hatia yoyote, lakini kwake kuyaondoa maisha ya Lisu lilikuwa ni jambo la kumfurahisha na kujivunia, kama angefanikiwa.
Mnalishwa Kila kitu na kumeza bila ata kutafuna..ukiulizwa hapo una ushahidi utabaki ukikenua kijampio tu

Stupid
 
Back
Top Bottom