Kama ni kweli ni kama kurudi nyuma miaka 500 kutoka uhuru 1960 maana haya ndiyo tunayoyasoma miaka hiyo ya nyuma.
 
CHADEMA NI WAPUMBAVU NA MALOFA, HAWANA AKILI, WAJINGA NA WASIOTUMIA MAWAZO.

Maafa yametokea siku zaidi ya 5 huko leo wanasikia Rais anaenda na wao wanajifanya kwenda.
 
Kwa hiyo wao unataka waende ln?Kwani kuna ratiba maalum ya kwenda hanang kuwafariji wahanga?au ulitaka waende mwaka Kesho?Kwani baada ya kufika wanpewa utaratibu WA kufuata kulikuwa na shida gani?
Waende tu!
 
Polisi na TISS wanaamini kwamba Tanzania nzima ni CCM
 
Hii inaonesha utawala bora sasa hivi hakuna nchi inakwenda bila pilot. Sijui hata kama watawala wenyewe wanajua dhamana yao kama wameiachia polisi kuendesha nchi. Binafsi siasa siyo mapenzi yangu lakini kama Rais anachukua muda kujua kuwa hili siyo dawa na kulikemea ni nani atakuwa na imani naye hapa nchini!
 
Kama ni hivyo Rais anayejua kuwa ni Rais wa Watanzania wote angejua kuwa huu ni msiba wa kitaifa na angekuwa wa kwanza kuwashirikisha upinzani wote kuonesha ni msiba wa Taifa siyo wa CCM! Kwani nchi yetu ingeingia vitani angefanyeje? Watu hawafikiri sana. Mnaingia kwenye siasa kama mahala pa itifaki na mbwembwe tu. Nashangaa. Poleni wananchi.
 
Swala hapa ukiachana na maswala mazito kama aya ya ndugu zetu manyara, ifike sehem ccm popote nchini wachia matatizo yao wazikane wao kwa wao
 
Wanafiki tuu, kwenye Kampeni wanatumia helcopter eti kamanda wa anga. Maafisa yametokea hatuoni hiyo helcopter insokoa watu halafu wanapenda kupiga siasa uchwara kwenye maafa?
Huna akili wewe, chadema imekata inchi, zile helcopter zilienda kule zilibeba watu wangapi ,pumbavu
 
Huna akili wewe, chadema imekata inchi, zile helcopter zilienda kule zilibeba watu wangapi ,pumbavu
Si ndio wangejupendekeza kwa wananchi kwenye matatizo ili waonekane Bora zaidi kwa kuwahi kutoka watu? Sasa kwenye Kampeni wanaokula Bata hewani na helcopter kwenye maafa hatuzioni si ubinafsi huo?
 
Serikali ya wajinga na maamuzi ya kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…