Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Picha na video za chato zmechelewa kweli! Au hakuna nyomi?
picha tu...kitu cha Bukombe hicho masaa machache tu Bhagosha wamepamba moto
1602601766386.jpeg
 
Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
Umenifurahisha kwa sentensi hii;

"....he's stupid like any other person..."

Wewe vipi? Ni binadamu/mtu au mnyama pori fulani?

If you are a "person", this means YOU ARE THE CHIEF EXECUTIVE STUPID, right?
 
Mbona unajitoa ufahamu bado mchana kweupe Tumia logic wanaochuana ni wat wa 2 tu halafu akose 3% kweli vingine angalieni bhna 3% ya kura 29milion ni 870k kweli atakosa kura laki 870 au unaongea tu na ww uonekane umechangia
nguruwe wa lumumba ndo mawazo yao
 
Acha ujinga, angalia awamu nyingine zilikuwa zinafanyaje.
Taratibu ndugu yangu. Sisemi mambo ya jamuhuri ya kufikirika. Dada yangu ni mmojawapo wa hizo awamu za nyuma mkuu. Alipunguzwa kanzini akiwa na umri wa miaka 41. Alianza kupewa posho ya kila mwezi alipofikisha miaka 50, mbayo ilikuwa inakubalika kisheria kipindi hicho.
 
Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
No, Lissu ni bora mara 100 ya Magufuli...
 
Naangalia YouTube live muda huu naona kama pana fujo watu wanarushiana mawe
 
Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
Bora lissu aliingiza dada ake kuliko magu aliye honga kimada nyumba za serikali

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom