The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Wewe uko wapi kwani? Nangurukutu au Kibiti? Mkutano ndiyo unaishilizia hivyo!!Labda Chato ya Ubeligiji
Wewe jinyonge tu kama huyathamini maisha yako tens!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uko wapi kwani? Nangurukutu au Kibiti? Mkutano ndiyo unaishilizia hivyo!!Labda Chato ya Ubeligiji
Video wanazi edit kwanza, maana sura ni zilezile za wale jamaa wa miamala wanaotangulia na mabasi siku 1 kabla Lissu hajaendaPicha na video za chato zmechelewa kweli! Au hakuna nyomi?
Mkuu nilijua unaongea vitu vyenye mantiki ila baada hiki ulichoandika hapa nimekunyoshea mikonoLissu mbona anazunguka na watu wale wale angalia video zake, wanatangulia na mabasi siku 1 kabla, mnadhani hatujui
picha tu...kitu cha Bukombe hicho masaa machache tu Bhagosha wamepamba motoPicha na video za chato zmechelewa kweli! Au hakuna nyomi?
Umenifurahisha kwa sentensi hii;Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
nguruwe wa lumumba ndo mawazo yaoMbona unajitoa ufahamu bado mchana kweupe Tumia logic wanaochuana ni wat wa 2 tu halafu akose 3% kweli vingine angalieni bhna 3% ya kura 29milion ni 870k kweli atakosa kura laki 870 au unaongea tu na ww uonekane umechangia
picha tu...kitu cha Bukombe hicho masaa machache tu Bhagosha wamepamba moto
View attachment 1598968
Taratibu ndugu yangu. Sisemi mambo ya jamuhuri ya kufikirika. Dada yangu ni mmojawapo wa hizo awamu za nyuma mkuu. Alipunguzwa kanzini akiwa na umri wa miaka 41. Alianza kupewa posho ya kila mwezi alipofikisha miaka 50, mbayo ilikuwa inakubalika kisheria kipindi hicho.Acha ujinga, angalia awamu nyingine zilikuwa zinafanyaje.
inakuuma eehh vumilia tu ipitesasa hii ndio nyomi!!
utapata puresha na kukimbilia burundi zikiaanza kumiminika....ni nyomi ya kufa mtuMi nazungumzia chato, we unaleta za bukombe
Tunaomba picha za chato
No, Lissu ni bora mara 100 ya Magufuli...Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
Si unajua habari za baadhi ya vijana kujirusha, magari mazuri n.k. Uzeeni inakuwa changamoto balaa. Shida kama zote.Shida kikokotoo why usipewe mafao yako yoote
Magufuli anaingia hapo ?Ni mjinga tu anayeweza kutoa kauli mufulisi kama hii.
Bora lissu aliingiza dada ake kuliko magu aliye honga kimada nyumba za serikaliNdugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.