Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Hapo kulikuwa na wavunja kabita na wafuata katiba ambao walikuwa wanaongozwa na CDF
Kwa hisani...Then my perception is nchi ilipinduliwa Kwa siku kadhaa ikarejeshwa baada ya kuapishwa Kwa Rais mpya....Maana Katiba ilikuwa clear kwamba Rais akishindwa majukumu ni Makamu ndiye Rais by default kama akienda nje ya nchi anapomwachia ofisi, Sasa CDF alikuwa ana amua wakati anayetakiwa kuamua akiwa Hana habari...Huoni hapo Kuna shida?
 
Of course kuna shida, naona umeandika kitu ambacho sikuwahi kukifikiria, kweli nchi ilikuwa chini ya jeshi Kwa masaa kadhaa
 
Sasa kama unalijua Hilo,Kwa nini uone Magufuli as if hakustahili Kufa? Yeye alikuwa anaimiliki kesho? Muwe mnajifunza sio kusingizia wasiohisika na vifo.

Mtu mgonjwa wa Moyo miaka Mingi still was living a stressful life unategemea nini?

Hakuna anayebisha mtu kufa, ila kuna swali kwa kiongozi mkubwa kama yule, amekufaje?

Usanii kwenye mambo magumu haulipi. Au ndio nyinyi watu wema msiokufa?

Hata na tezi dume au covid au lolote lile lazima tutakufa.

General amefungua Pandora box. Muda utayamaliza hayo mengine.

Mimi sina lolote la ziada zaidi ya kujiuliza kulikoni
 
Huyu ndiye CDF wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea hapa nchini.

Kwanini hakumpindua dikteta jiwe, badala yake akamuacha aendelee kuteka, kupora na kuua watu?

Damu za watu wasiyo na hatia zinamlilia, ndiyo sababu anajuta kwa kulia hadharani.
 

Hii interview imekuja wakati muafaka. Anayedhani amesimama, aangalie asianguke
 
Alishindwa kuweka uzalendo akazidiwa na Msoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…