Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kama wewe unaona Mbowe hamtambui Magufuli, basi Magufuli anamtambua Mbowe kama Kiongozi wa Kambi ya upinzani nchi kama alivyomwita basi tutumie kutambulika kwake na magu tufanye kaziLini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?