Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAAAAAA HIII SACCOSKONYOO HATAREESaccos Tanzania View attachment 1286663
rais wako na labda familia yakoRais wetu.n
Kwanini mnapenda kujenga ufa kwani maridhiano yanakukera nini wewe!?Leo mnamtambua kuwa magufuli ni raisi? Ila kwenye kuapishwa kwake mligomea
Kwa hiyo ulitaka CHADEMA wafanyeje?.Waingie msituni ili kulazimisha HAKI na Demokrasia?.Kama Taifa tushukuru kuwa na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani mwenye,BUSARA,HEKIMA na UVUMILIVU mkubwa.Vinginevyo........Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.
CHADEMA hakuna kitu
Wamekumbukwa kwenye mgao wa mwenyekiti wa ruzuku Nini? Maana ruzuku ya chama chenu inapotea bila habariMzee Mgaya na mchungaji Erasto nao walishuhudia hafla ya leo?
Haahahaaaa akaombe maridhianoooo sikuya UCHAGUZI WA MWENYE KITI ....Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano
Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru:
Mheshimiwa Rais,
Waheshimiwa viongozi wote mlioko mahali hapa,
Waheshimiwa watanzania wenzangu!
Nimekuja kushiriki sherehe za miaka 58 ya Uhuru kama uthibitisho wa ulazima wa kuwepo maridhiano, kuwepo upendo, na kuwepo mshikamano katika Taifa letu.
Nawapongeza sana watanzania kwa siku hii ya leo na ninamuomba Mwenyezi Mungu siku ya leo ikafungue milango tuweze kuishi kama Taifa linalopendana, tuvumiliane, tukosoane, turuhusu demokrasia. Tukajenge Taifa lenye upendo na mshikamano.
Na Mheshimiwa Rais una nafasi ya kipekee kuweka historia ya maridhiano katika Taifa kwani kuna wengine wanalalamika, wengine wanaumia. Basi Mheshimiwa Rais tumia nafasi hiyo ukaliweke Taifa katika hali ya utengamano.
Nakushukuri sana. Asante sana.
_____________
Hotuba fupi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na KUB, Mh *Freeman Mbowe* katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika, zilizofanyika Jijini Mwanza leo 9 Disemba 2019
View attachment 1286525
Chadema imefikia uamuzi mgumu kwa maslahi ya Taifa
Chadema imefikia uamuzi mgumu kwa maslahi ya Taifa
Leo mnamtambua kuwa magufuli ni raisi? Ila kwenye kuapishwa kwake mligomea
Utamu WA Siasa ni kusahau matatizo yako Kwa kaulimbiu vya "Yanga Mbele kurudi nyuma mwiko" ukiangalia Siasa ya Tanzania utagundua kunatatizo la umoja wa kitaifa katika kutatua matatizo na hii inasababishwa na Sifa (Ndiyo maana ni Bora ungekuwa Uhuru wa BINTI MARINGO" kuliko Uchumi:.
Moja ya maandiko ya mwalimu Nyerere alikataza kitu kimoja Tu ambacho hata VIPI hakutakuwa na umoja wa kitaifa "Vyumba vya kupanga havitakiwi" mwisho wa kunukuu Mambo mengine yote "tumetaka wenyewe"
Ni rahisi kusikia "your finding first president fuki" watu wakaanza kutafutà raisi wa kwanza badala fuki ya para ya "hakutakiwi vyumba vya kupanga"
👉👉👉👉 people majibu yote yapo kwenu wenyewe
We naweUnaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.
CHADEMA hakuna kitu
Wamekumbukwa kwenye mgao wa mwenyekiti wa ruzuku Nini? Maana ruzuku ya chama chenu inapotea bila habari
Yangu macho,huwenda baada ya uchaguzi wa mwaka kesho wewe ndo ukatakiwa CCBRT
Sahihisho:
Kila mara huwa wanaalikwa na nafasi yao huwa ipo siku zote, ila walikuwa wanasusia kama watoto wakisubiri kubembelezwa, sasa wameona wanapoteza zaidi hivyo wameamua kujileta.
BTW, sijasikiliza alichosema Mbowe.