Mkuu tafadhali usichanye masuala ya Kitaifa na ya Chama. Nchi ni mali ya Watz wote walio na vyama na wasio navyo.Ndani ya CDM mbona hakuna maridhiano mpaka wazee waandamizi Safari na Sumaye wameamua kujiweka kando..? Angeanza ndani kwanza.
Acha upotoshaji ww mpuuzi, cdm walisema hawatambui uchaguzi wa Zanzibar, na kilichowafanya bungeni ni kwakuwa Dr. Shein alishiriki ufunguzi ule wa bunge. Hata hivyo ushindi wa Magufuli ilikuwa ni utata mtupu. Nampongeza sana Zitto kutoshiriki hiyo sherehe na wahuni. Naalani viongozi wa cdm kushiriki kwenye sherehe pamoja na wahuni wanaonajisi demokrasia yetu.
Kwani lini umekosa amani kamanda??Whatever the case, kitu tunachotaka amani iwepo kwa wote.
Kauli hii ni typical book7 wakilinda ajira yao. Mana kukiwa na maridhiano kitengo cha book7 mtandaoni kitafungwa. Jamaa mtakosa ajira. muda huu ndio tunaona sumu yenu halisi ambayo hata ccm wenyewe wasipokuwa makini itawadhuru.Hivi kweli baada ya miaka 4 ya Magufuli bado Mbowe anamatumaini ya kuwa na maridhiano ya kitaifa?.
Baada ya yote yaliyotokea kwenye uchaguzi 2015 na serikali za mitaa 2019 Mbowe unaomba maridhiano!!! Hivi haya maridhiano ya kitaifa yatafanya uchaguzi wa serikali za mitaa kurudiwa?
Nasubiri kauli ya Mh. TLS baada ya kamati kuu ya Chadema kuhudhuria sherehe za maridhiano na alichokiomba Mbowe kwa rais!
Wabunge wa chadema na wanachama wao wasubiri matusi, kejeli na vijembe kutoka kwa wabunge wa CCM kuwa walipandishwa ndege na kula ubwabwa siku ya Uhuru.
Hii nchi ilipofika inahitaji kulazimishwa sio kufanya maridhio!!
Ukijua kwanini tunaiongelea Chadema na sio TADEA utaelewa umuhimu wa Chadema kwa taifa hili.CHADEMA ni nini? Kwani nayo ni serikali ndani ya serikali? Hicho chama cha watu kadhaa ndo kinajipa hadhi ya kutaka maridhiano na serikali?
The logic is simple, when the enemy is too elephant, simply join and show your weaknesses.
'Amani' is a relative term, wewe unaweza kuona kuna amani mwenzako asiione.Kwani lini umekosa amani kamanda??
Asingehudhuria angepelekaje ujumbe wake? Kama walimwalika kumtega huku wakijua atasusa basi wamejiharibia maana hawakutegemea Kama angeenda! Na hata aliyempa nafasi ya kutoa salami alitegemea kusifiwa lakini kapewa ukweli na sura yake ilisomeka vyema kwa maneno aliyoambiwa na Mbowe! Mbowe kaitumia fursa ya kumsema hadharani ambalo mashahidi wameshangilia uwanjani hapa!Angalia hapo kwenye uzi wangu nimesema hata ushindi wake ulikuwa ni utata mtupu. Kutoka bungeni ilikuwa ni suala lingine. Usichanganye mambo. Kwa taarifa yako hata huo uendaji wa Mbowe kwenye hiyo sherehe sio kwamba naufagilia, bado namshangaa kipi kimemfanya ahudhurie kama sio kufuta madai yote halali ya uonevu?
Nchi haiwezi kuendelea kwa kupitia akili zenu zisizokuwa na tija kama yako,utapata faida wakifungwa,umri Wa kuishi kwako utaongezeka,uchumi wako utaimarika kwa,mwenyekiti wako Wa chama amewatambua ww nani,this government will punish you more than the opposition, one day yes,punguza kutafuta maadui,bali jaribu kutafuta maridhiano hii dunia sio ya mamako,ala!Viongozi wengi wa chadema wameshaambiwa na wanasheria wao kuwa kifungo kipo njiani ndio maana wanajipendekeza ili wapate huruma
USSR
katika vita, kuna kipindi unajikuta unahitajika kurudi nyuma kidogo kimkakati. au hujawi sikia hili ndugu?Hivi kweli baada ya miaka 4 ya Magufuli bado Mbowe anamatumaini ya kuwa na maridhiano ya kitaifa?.
Baada ya yote yaliyotokea kwenye uchaguzi 2015 na serikali za mitaa 2019 Mbowe unaomba maridhiano!!! Hivi haya maridhiano ya kitaifa yatafanya uchaguzi wa serikali za mitaa kurudiwa?
Nasubiri kauli ya Mh. TLS baada ya kamati kuu ya Chadema kuhudhuria sherehe za maridhiano na alichokiomba Mbowe kwa rais!
Wabunge wa chadema na wanachama wao wasubiri matusi, kejeli na vijembe kutoka kwa wabunge wa CCM kuwa walipandishwa ndege na kula ubwabwa siku ya Uhuru.
Hii nchi ilipofika inahitaji kulazimishwa sio kufanya maridhio!!
CHADEMA ina umaarufu kwa kabila moja tu! What next?Ukijua kwanini tunaiongelea Chadema na sio TADEA utaelewa umuhimu wa Chadema kwa taifa hili.
Kwani haupo ugomvi? Uchaguzi wa marudio na wa serikali za mitaa mlitenda sawa? Kuwazuia wasifanye mikutano hata ya ndani ilihali wao ni wanasiasa Kama ninyi ni sahihi?Kwanini Mbowe analazimisha ionekane kuna ugomvi
Wapinzani wanachohitaji ni maridhiano ya Kitaifa tusimame kama Taifa Moja na sio kubaguana kutokana na itikadi za Kisiasa. Mf rahisi ni majuzi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Baadhi ya Mitaa watu wamekuwa maadui wakati mwanzo walikuwa wamoja. Sasa Vingozi wenye kufikiri kwa mapana hawawezi kuyaona hayo kisha wakavumilia.Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Leta data tuone.CHADEMA ina umaarufu kwa kabila moja tu! What next?
Kwa hili pongezi nyingi sana kwa Zitto.Hamna maridhiano wala nini ni udhaifu tu, nampongeza Zito na chama chake kutokuhudhuria hiyo hafla na hao wahuni wanaobaka demokrasia yetu. Kwahili cdm wamechemsha.
RIP Kamanda Mawazo,pole sana Lissu.Siku ya kuapishwa rais Magufuli Chadema walisusa Zitto alihudhuria na akampongeza, leo Zitto kasusa Chadema wamehudhuria, ndiyo siasa zilivyo.
Fununu zilizopo ni kuwa mishale ya saa kumi jioni watakuwa na kikao Cha maridhiano kitakachoshirikisha cdm's crew, baadhi ya maaskofu, mawaziri wakuu wastaafu na aliyepo, Marais wastaafu na mkulu mwenyewe hapo ikulu ndogo jijini mwanza. Sio kikao Cha kitoto!
Mbowe no mfanyabiashara..ameshachanga karata2 zake2 vyema..sababu anatambua mh rais kazi anayofanya ya kuboresha maisha ya watanzania.
Wewe na makarai wenzio mliomo humu mtabaki mkivuvuzera wakati Dj Anakunywa supu ya sato mwanza