Freeman Mbowe: Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari
Bishaneni sana juu ya kuhudhuria kwa Mbowe ila ukweli unabaki palepale kuwa, hakuna njia ilyo Bora Kama ukipata nafasi ya kumwambia adui yako vile usivyovipenda usoni mwake huku mkiangaliana machoni! Ccm wameduwaa na hawaamini kilichotokea kwa ukweli ule kuwekwa hadharani huku mabalozi, na wageni wengine wakisikia vyote na vyombo vya habari vya kimataifa vikirusha mubashara hotuba yote! Hongera Mbowe kwa ujasiri wa kumweleza ukweli machoni!
 
Mungu nisaidie Niendelee Kuwa Mtu Huru, Nisiwe Mfuasi Msukule Wa Mtu, Chama Au Kikundi Chochote.

Maana Wafuasi Wengi Ni Watumwa Na Huwa Hawatumii Akili Kabisa.
 
Chadema wawashauri wachaga kuwa Wawe na maridhiano na makabila mengine wasijione superior au kuonea watu wasio kabila yao au kujipendelea kwenye maeneo yenye watu wa makabila tofauti iwe maeneo ya kazi,iwe kwenye siasa ndani ya chadema au popote.

Wachaga wanahitaji maridhiano na makabila mengine ndani ya chadema yenyewe ili chadema isionekane Chama Cha wachaga
 
Leta data tuone.
Unashangilia DJ kujitambua! Subilia data, boss. Then nitakuomba data kuonesha umaarufu wake kokote kwingine. Watu wanahama ninyi munasema wananunuliwa. Mbona moshi hawanunuliwi?? Arusha is no longer with you! Hatutaki kusikia mbunge wa Moshi Arusha wakati ninyi hamtaki mtu wa Arusha kuingia Moshi. Simple!
 
Hawa watu wa aina hii ni wale wanao hitaji vita na migogoro isiyo isha
Huwez kutofautisha kati kumbukizi ya kitaifa na matukio mengine. Mapambano ni process na yanabadilika kulingana na muda. Usiwe static otherwise tueleze mafanikio ya kususiana na kununiana kusikitika tu
 
Kwa aina ya siasa ziendeshwazo na watawala serikali ya sasa, na pia chini ya uongozi wa CCM ya sasa, kuleta kwenye meza ya mazungumzo suala la muafaka ni jambo la heri, kwa hakika itakuwa ni "win-win situation" kwa wapenda demokrasia. Kwa kuwa mwenendo na muelekeo ambao serikali hii ilikuwa inaelekea, ilikuwa ni kanyaga twende tu, katiba na sheria tupa kule.
 
Mimi ni mwana cdm, namuunga mkono kwa hili alililo lifanya mh Mbowe
Mh Mbowe kaonyesha ukomavu mkubwa ktk Siasa. Siasa sio uadui, sio majigambo wala kiburi mbele ya Kiongozi wa Nchi na Wazalendo wa kweli kwa nchi yao bali ni kutumia angalau sekunde chache kuhakikisha kuwa ujumbe umefika panapostahili. Sasa nasi ni jukumu la Kionhozi Mkuu wa Nchi kuyapokea na kiyafanyia kazi au kuyapuiza. Nchi ni ya Watz wote ni si mali ya viongozi kama unavyowaza wewe. HONHERA SANA MH MBOWE kwa kuwa Kiongozi wa Mfano ktk Siasa za Kidemokrasia.
 
Kwa bahati mbaya Magufuli sio mtu diplomatic ni mtu belligerent hiyo ndio hulka yake na pale unapomtafuta mfanye maridhiano ndio anazidi kuwa arrogant na kuku-tantalize, ndio anajiona zaidi mshindi.

Wazo kama hilo la maridhiano haliwezi kufaulu kwa Magufuli. He views himself as a conquering personality in whom every knee should bow for rather than a diplomatic one.

Kwa mkakati huu naona Chadema wameokota "Hii sio pesa" kwani kondoo hawezi kuomba dialogue na fisi. Never. Mtu ambaye kufuta vyama vyenu ni agenda yake kuu kuliko hata ujenzi wa SGR, Stiegler Gorge na ujenzi wa Busisi-Kigongo Bridge combined, kutafuta muafaka na mtu sampuli hiyo ni sawa na kumtafuta bikra kwenye baa.
 
Wrongly
Uasi misituni Tz tulizika rasmi siku kama ya leo 1961 hivyo hatuwezi kuongelea tena uasi wa msituni. Hata hivyo tuliambiwa uvumilivu unakikomo baada ya uchaguzi tutaambiwa mwelekeo na hatua za kuchukua. Kwahiyo hayo maridhiano yanayoombwa sehemu isiyoombea ndiyo mwisho wa uvumilivu??
Hata hivyo nimependa comment ya Mambo sio rahisi kama ninavyofikiri!!
 
Unashangilia DJ kujitambua! Subilia data, boss. Then nitakuomba data kuonesha umaarufu wake kokote kwingine. Watu wanahama ninyi munasema wananunuliwa. Mbona moshi hawanunuliwi?? Arusha is no longer with you! Hatutaki kusikia mbunge wa Moshi Arusha wakati ninyi hamtaki mtu wa Arusha kuingia Moshi. Simple!
Acha story leta data mkuu.
 
Shukrani kwa mchango mzuri
Unadhani Lissu hajui kuwa wenzie wako Mwanza? Aliyekudanganya hivyo Nani? Karata ya Leo ya CDM imehit vibaya, matusi na kejeli za baba Jesca mbele ya watu makini hakuna. Sijasikia Kitwanga kakaa na mwanamke white au Mongela kaiba mke wa mtu. Nilichosikia "Wenyeviti wa Vyama njooni hapa, MBOWE njoo basi". Taifa linahtaji mawazo ya watu wote wakiwemo punguani pia, hivyo hata haya mawazo ya kima cha chini tumekusikia.
 
Kikwete aliwaita sana lakini hwapi ,wapinzani wa bongo ni pasua kichwa

Wapinzania watafungwa kwa ishu ya akwilina mambo ya kuomba maridhiano sio time yake


USSR
Kikwete aliita watendaji ikulu na kuwaagiza waharibu form za wagombea wa upinzani??
 
Nakuunga mkono kwa 100%
Ebu vaa viatu vya Mbowe. Wafuasi wa upinzan wanataka mabádiliko yaletwe na viongoz huku wao wamejifungia ndani. Mara ngapi Mbowe amehamasisha civil disobidience bara support ya wafuasi wa mabádiliko?Badala ya kulalamikiána Mbowe ungekuja na option. Mange Kimambi alipata support gán otherwise wew utakua vuvuzerá la Lumumba unafitinisha
 
Chadema wawashauri wachaga kuwa Wawe na maridhiano na makabila mengine wasijione superior au kuonea watu wasio kabila yao au kujipendelea kwenye maeneo yenye watu wa makabila tofauti iwe maeneo ya kazi,iwe kwenye siasa ndani ya chadema au popote.

Wachaga wanahitaji maridhiano na makabila mengine ndani ya chadema yenyewe ili chadema isionekane Chama Cha wachaga
Hapa umepanic hadi umeimba nje ya beat.

Praise team tulizeni akili kabla ya kuchangia mada pindi mnapopokea konde la maana kutoka kwa watu makini kama Mbowe.
 
Chadema wawashauri wachaga kuwa Wawe na maridhiano na makabila mengine wasijione superior au kuonea watu wasio kabila yao au kujipendelea kwenye maeneo yenye watu wa makabila tofauti iwe maeneo ya kazi,iwe kwenye siasa ndani ya chadema au popote.

Wachaga wanahitaji maridhiano na makabila mengine ndani ya chadema yenyewe ili chadema isionekane Chama Cha wachaga
Ambizaneni huko ccm mnakoongoza kikabila na kikanda kwanza huku mkijidai kuwa ni wakati wenu wa kufaidi! Unataka kumdanganya Nani asiyejua na kuona mnavyojazana kila idara nyeti na kupekeja miradi huko usukumani? Au kwako siyo ukabila? Ama kweli nyani haoni kundule!
 
Back
Top Bottom