Na wewe unamuwaza Mbowe tu utadhani ni nanihiii wako
Unashangilia DJ kujitambua! Subilia data, boss. Then nitakuomba data kuonesha umaarufu wake kokote kwingine. Watu wanahama ninyi munasema wananunuliwa. Mbona moshi hawanunuliwi?? Arusha is no longer with you! Hatutaki kusikia mbunge wa Moshi Arusha wakati ninyi hamtaki mtu wa Arusha kuingia Moshi. Simple!Leta data tuone.
Hahahahaahhaahah MpwaMumewe
Huwez kutofautisha kati kumbukizi ya kitaifa na matukio mengine. Mapambano ni process na yanabadilika kulingana na muda. Usiwe static otherwise tueleze mafanikio ya kususiana na kununiana kusikitika tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] roho inakuuma sana kila ukiona Mbowe yuko makiniEither with us or against us, hakuna maridhiano na wasaliti.
Kila mtu na mchango wake hata waliopigania Uhuru sio wote walioona siku Tanganyika ikipata Uhuru.RIP Kamanda Mawazo,pole sana Lissu.
Nadhani wanajionea wenyewe.
Mh Mbowe kaonyesha ukomavu mkubwa ktk Siasa. Siasa sio uadui, sio majigambo wala kiburi mbele ya Kiongozi wa Nchi na Wazalendo wa kweli kwa nchi yao bali ni kutumia angalau sekunde chache kuhakikisha kuwa ujumbe umefika panapostahili. Sasa nasi ni jukumu la Kionhozi Mkuu wa Nchi kuyapokea na kiyafanyia kazi au kuyapuiza. Nchi ni ya Watz wote ni si mali ya viongozi kama unavyowaza wewe. HONHERA SANA MH MBOWE kwa kuwa Kiongozi wa Mfano ktk Siasa za Kidemokrasia.
Mbowe anawaza siasa tu anadhani bila chadema inchi haiendi
USSR
Uasi misituni Tz tulizika rasmi siku kama ya leo 1961 hivyo hatuwezi kuongelea tena uasi wa msituni. Hata hivyo tuliambiwa uvumilivu unakikomo baada ya uchaguzi tutaambiwa mwelekeo na hatua za kuchukua. Kwahiyo hayo maridhiano yanayoombwa sehemu isiyoombea ndiyo mwisho wa uvumilivu??
Hata hivyo nimependa comment ya Mambo sio rahisi kama ninavyofikiri!!
Acha story leta data mkuu.Unashangilia DJ kujitambua! Subilia data, boss. Then nitakuomba data kuonesha umaarufu wake kokote kwingine. Watu wanahama ninyi munasema wananunuliwa. Mbona moshi hawanunuliwi?? Arusha is no longer with you! Hatutaki kusikia mbunge wa Moshi Arusha wakati ninyi hamtaki mtu wa Arusha kuingia Moshi. Simple!
Unadhani Lissu hajui kuwa wenzie wako Mwanza? Aliyekudanganya hivyo Nani? Karata ya Leo ya CDM imehit vibaya, matusi na kejeli za baba Jesca mbele ya watu makini hakuna. Sijasikia Kitwanga kakaa na mwanamke white au Mongela kaiba mke wa mtu. Nilichosikia "Wenyeviti wa Vyama njooni hapa, MBOWE njoo basi". Taifa linahtaji mawazo ya watu wote wakiwemo punguani pia, hivyo hata haya mawazo ya kima cha chini tumekusikia.
Kikwete aliita watendaji ikulu na kuwaagiza waharibu form za wagombea wa upinzani??Kikwete aliwaita sana lakini hwapi ,wapinzani wa bongo ni pasua kichwa
Wapinzania watafungwa kwa ishu ya akwilina mambo ya kuomba maridhiano sio time yake
USSR
Ebu vaa viatu vya Mbowe. Wafuasi wa upinzan wanataka mabádiliko yaletwe na viongoz huku wao wamejifungia ndani. Mara ngapi Mbowe amehamasisha civil disobidience bara support ya wafuasi wa mabádiliko?Badala ya kulalamikiána Mbowe ungekuja na option. Mange Kimambi alipata support gán otherwise wew utakua vuvuzerá la Lumumba unafitinisha
Hapa umepanic hadi umeimba nje ya beat.Chadema wawashauri wachaga kuwa Wawe na maridhiano na makabila mengine wasijione superior au kuonea watu wasio kabila yao au kujipendelea kwenye maeneo yenye watu wa makabila tofauti iwe maeneo ya kazi,iwe kwenye siasa ndani ya chadema au popote.
Wachaga wanahitaji maridhiano na makabila mengine ndani ya chadema yenyewe ili chadema isionekane Chama Cha wachaga
Ambizaneni huko ccm mnakoongoza kikabila na kikanda kwanza huku mkijidai kuwa ni wakati wenu wa kufaidi! Unataka kumdanganya Nani asiyejua na kuona mnavyojazana kila idara nyeti na kupekeja miradi huko usukumani? Au kwako siyo ukabila? Ama kweli nyani haoni kundule!Chadema wawashauri wachaga kuwa Wawe na maridhiano na makabila mengine wasijione superior au kuonea watu wasio kabila yao au kujipendelea kwenye maeneo yenye watu wa makabila tofauti iwe maeneo ya kazi,iwe kwenye siasa ndani ya chadema au popote.
Wachaga wanahitaji maridhiano na makabila mengine ndani ya chadema yenyewe ili chadema isionekane Chama Cha wachaga