Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho yako mbaya inakusumbua sana..Yeye aliyekimbiwa leo kasalimiana nao na kusikiliza maneno yao..Wewe ni nani?Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Mkuu kupambana na mtu mwenye nguvu na kila aina ya silaha, kunahitaji akili sana. Binafsi nakubaliana na approach hiiUnaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.
CHADEMA hakuna kitu
Mkuu hapa umetuchapa, msikilize tena Mbowe.
Huu ndiyo ulikuwa ujumbe wake mkuu kwa Raisi.
Huu ndio uongo mchana kweupe, wote tumemsikia Mbowe na mpira sasa uko kwa JPM. Amekumbushia jambo ambalo walishaliomba enzi zile za UKUTA.
Naona Lowassa na Sumaye wamemute kabisa kana kwamba hawajui kinachowasibu watanzania hasahasa wapinzani. Afadhali Bwana Yule ametia neno-HAKI.
Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.
CHADEMA hakuna kitu
Hawana ubavu wa kufanya hivyo kwa kuwa wamegubikwa na aibu kwa jinsi ambavyo wamekuwa wakikejeli juhudi za Rais Magufuli kuibadili Tanzania Kijamii, Kisiasa, Kiuchumi na Kiteknolojia kuelekea uchumi wa kati. Hawana agenda mbadala ya kushindana na Rais Magufuli kubadili mtazamo chanya wa wapiga kura kuhusu utendaji kazi wa Rais Magufuli.Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Hao unao wasema wazee killcho wapeleka cdm uroho was madarakaNdani ya CDM mbona hakuna maridhiano mpaka wazee waandamizi Safari na Sumaye wameamua kujiweka kando..? Angeanza ndani kwanza.
Unaweza kushangaa wewe umeshinda njaa na Mh Mbowe amemwaga na chakula adi Mbwa wake nae amebakisha chakula...then unasema ananyoshwa.Mtaendelea kunyooshwa tu!
Mlishamalizana na MAKATIBU WAKUU WASTAAFU? Kabla ya kucheka kibanzi toeni MABORITI MACHONI MWENU!!Ndani ya CDM mbona hakuna maridhiano mpaka wazee waandamizi Safari na Sumaye wameamua kujiweka kando..? Angeanza ndani kwanza.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Mbowe ameenda Mwanza kibwege bwege. Na sio yeye tu, yaani Heche, Mnyika, Sugu, Lema, Boniface waende Mwanza bila kuwa na jambo la maana? Sidhani
Huyo unayeshindana nae alikaa jukwaa kuu wewe ulikuwa kiwanjani furahisha umekaa mchangani... yeye alilala hoteli kwa gharama za serikali wewe serikali ilikuombea sakafu ya darasa pale shule ya Azimio... iko tofauti kuza akili mkuu ndugu yangu.Mtaendelea kunyooshwa tu!
Mkuu kwani wamelazimishwa kuwa watumishi wanaweza kuacha wakaenda kufanya kazi nyingine.Mateso kwa watumishi wa umma miaka 4 hakuna nyongeza.
Una lingine?Ndio, nasema hivi ww utakuwa bonge la juha kuendelea kuangalia makomandoo wakiokoa mtu maarufu, huku Mo alitekwa na hao makomandoo hawakumuokoa!
Wanensakimia Kama Nani kwao?Roho yako mbaya inakusumbua sana..Yeye aliyekimbiwa leo kasalimiana nao na kusikiliza maneno yao..Wewe ni nani?
Mtu mzima akuenda kunya porini husingizia anaenda kutafuta kuni.Mbowe anasoHotuba ya Mbowe yafunikwa kwa mbali sana hotuba zote za siku ya uhuru
Sumaye ni Mwandamizi ndani ya CHADEMA? Umerogwa?Ndani ya CDM mbona hakuna maridhiano mpaka wazee waandamizi Safari na Sumaye wameamua kujiweka kando..? Angeanza ndani kwanza.