mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,240
- 2,629
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi wale makomando mbona hawakwenda kumuokoa MO kipindi kile ametekwa??
Ama MO sio mtu mashuhuri??! Nawaza kwasauti [emoji57]
Na huyu ndo platinum member wetu wa hapa jf
kitendo cha viongozi wa vyama mbalimbali kuhudhuria sherehe za Uhuru wa Taifa letu hicho tu ni kielelezo dhahiri za Umoja na mshikamano kwa Taifa letu.
Hongera nyingi kwa Rais wetu kwa kuwaleta pamoja wapinzani wako.
HAPPY BIRTH DAY TANZANIA.58 YRS
hao nguchiro wa chadema wameshtukia kuwa mwakani washinde wasishinde hawarudi bungeni wanaanza kujipendekeza kwa mheshimiwa Magufuli?
Hawakupewa tenda
Waswahili husemaga yakwapi!?Mkuu wewe kweli ni SIMPLE MIND!
Huna hazina ya information background.
Refer Mwalimu;
Kutaifisha njia kuu za uchumi(kujitawala kiuchumi)
Viwanda lukuki vya mazao
Mashirika ya umma huduma kwa wote
(ATC,BIC,NBC,BORA shoes,NDC,TISCI,TEMDO,TIRDO,UDA,KAMATA,NARCO etc)
Vyuo vya uchumi na biashara(Busuness college Dsm, SHYCOM, IFM etc)
Na mengine mengi , sijui tusemeje
Na huyu ndo platinum member wetu wa hapa jf
Makofi kwake tafadhali [emoji122][emoji122]
walikuwa hawajajofunza hizo mbinu hadi alipotekwa MooHivi wale makomando mbona hawakwenda kumuokoa MO kipindi kile ametekwa??
Ama MO sio mtu mashuhuri??! Nawaza kwasauti [emoji57]
app zetu hizi vijana zinatudhalilisha kweli yaan
😆 😆 😆 usifanye mchezo na hii serikali ww.walikuwa hawajajofunza hizo mbinu hadi alipotekwa Moo
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
[emoji16][emoji16][emoji16]kwann unasema hvyo mzee babaapp zetu hizi vijana zinatudhalilisha kweli yaan