Nyani Ngabu,
Yaani kwa mawazo yako mpaka tufike kwenye Rwanda au Kenya unachosema hapa ni mpaka watu wengi wafe kwanza👆. Kitu ambacho haki make sense je unajua ni vitu vingapi hao wapinzani viongozi wamezuia. Vilevile kuna tatizo gani kufanya?
Yaani kwa mawazo yako mpaka tufike kwenye Rwanda au Kenya unachosema hapa ni mpaka watu wengi wafe kwanza👆. Kitu ambacho haki make sense je unajua ni vitu vingapi hao wapinzani viongozi wamezuia. Vilevile kuna tatizo gani kufanya?