Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa shabiki wa yanga bana! Simba hapa kashaprove mechi kibao kwa mkapa Utopolo wao Zalan tu wanasuniri hadi kipindi cha piliSIMBA 1-3 RAJA CASABLANCA
YANGA 2-0 TP MAZEMBE
Tofauti na matokeo hayo niiteni ZUWENA, all the way from CAPE TOWN.
Jina langu la huku ni NHLANHLA MEBO.
Si kukuangusha tu, watakupiga mwelekea vibaya sana. Huko waliko hao washirika wako wana Wenge tayari.Raja msiniangushe
Simba mnajitetea Sana Kenge nyie. Mkifungwa Mara hatuna watu, Mara kocha, Mara MO kakataa kutoa motisha kima nyie. Juzi mnalalamika sijui mwaka huu hakuna umoja Kati ya wachezaji hata Mkifungwa poa tu. Mkishinda maneno mengineeeMkuu, kama simba mbovu basi ya msimu jana ilikuwa mbovu zaidi, lakini kila aliekuja kwa Mkapa alipasuka.
N.B. Namba ya Kanoute chapa Kennedy Juma au Kapama
Raja anakufaSimba mnajitetea Sana Kenge nyie. Mkifungwa Mara hatuna watu, Mara kocha, Mara MO kakataa kutoa motisha kima nyie. Juzi mnalalamika sijui mwaka huu hakuna umoja Kati ya wachezaji hata Mkifungwa poa tu. Mkishinda maneno mengineee
Mtu hunena liujazalo moyo wake.Mmeanza..hivi hili la kujipa ukike hamliachi?
Duh!Mkuu, kama simba mbovu basi ya msimu jana ilikuwa mbovu zaidi, lakini kila aliekuja kwa Mkapa alipasuka.
N.B. Namba ya Kanoute chapa Kennedy Juma au Kapama
Mimi sipo hapa kushindana na mtu. Jifikishie taarifa kwenye ile akaunti yako nyingine ya kipopomaMwaka huu JamiiForums wakiandaa tena Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) ukishindwa tena na yule sijui nani ( nimemsahau Jina ) akichukua tena nakushauri uachane na hili Jukwaa kwani Juhudi zako za Kuanzisha Mada mbalimbali za Michezo ( kila mara na kila Siku ) Jukwaa hili zitakuwa hazina maana na faida.
Mambo ya kishoga hatutaki hapa, sasa wewe wa kiume afu tukuite Da Zuu?SIMBA 1-3 RAJA CASABLANCA
YANGA 2-0 TP MAZEMBE
Tofauti na matokeo hayo niiteni ZUWENA, all the way from CAPE TOWN.
Jina langu la huku ni NHLANHLA MEBO.
Kila la heri Raja🦅🦅💚