Mkuu, kama simba mbovu basi ya msimu jana ilikuwa mbovu zaidi, lakini kila aliekuja kwa Mkapa alipasuka.

N.B. Namba ya Kanoute chapa Kennedy Juma au Kapama
Simba mnajitetea Sana Kenge nyie. Mkifungwa Mara hatuna watu, Mara kocha, Mara MO kakataa kutoa motisha kima nyie. Juzi mnalalamika sijui mwaka huu hakuna umoja Kati ya wachezaji hata Mkifungwa poa tu. Mkishinda maneno mengineee
 
Mimi sipo hapa kushindana na mtu. Jifikishie taarifa kwenye ile akaunti yako nyingine ya kipopoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…