Unategemea matokeo kwa raja? Dah
 
Hapo kwa Chama ungebold.
 
Kwann wamelirudisha bas nyuma nyuma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unajua simba ni mnyama. Mbele kuna kichwa na nyuma kuna mkia. Ili
Aweze kurudi salama alikotoka lazima ageuke ili kichwa kitangulie. Vinginevyo inabidi arudi kinyumenyume akiwa ametanguliza mkia, kwa maana kwamba sasa anaongozwa na mkia ambao hauna macho badala ya kichwa chenye macho. Sasa nadhani utaelewa kwa nini kwa Mkapa katoka mtu badala ya KWA MKAPA HATOKI MTU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…