TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Timu zetu zina misimu.
Na bahati mbaya hazina uwekezaji wa kudumu ndiyo maana simba ya mwaka juzi haiwezi kurudi tena as tunaona Yanga hii ya sasa inaweza kufanya vizuri kuanzia mwaka huu mwishoni na mwakani.
Endapo haitafikia malengo kwa pesa waliyowekeza sasa basi hio Yanga nayo never come back tena!.
Note my word.
Na bahati mbaya hazina uwekezaji wa kudumu ndiyo maana simba ya mwaka juzi haiwezi kurudi tena as tunaona Yanga hii ya sasa inaweza kufanya vizuri kuanzia mwaka huu mwishoni na mwakani.
Endapo haitafikia malengo kwa pesa waliyowekeza sasa basi hio Yanga nayo never come back tena!.
Note my word.