SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Uto hakufungwa kwa mkapa. Alipata sare 3-3Tunatakiwa kufungwa magoli 3 zaidi ili tufikie ubovu wa Uto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto hakufungwa kwa mkapa. Alipata sare 3-3Tunatakiwa kufungwa magoli 3 zaidi ili tufikie ubovu wa Uto
Simba anakufa hamsa tusubiri gemu ianze uone watu wanavyoukimbia uwanja leo, Yanga km upo sahihi Ila kwa Simba umepoteza ubashiri
BIG unazingua ujue?Piga MBWA haoooooo!!!
Badala ya kupambana na hali yako unahaha kutafuta sababuTunatakiwa kufungwa magoli 3 zaidi ili tufikie ubovu wa Uto
Huyo hawez kuja hapa[mention]MINOCYCLINE [/mention] [mention]Gentamycine [/mention] mshanyukwa huko kipigo cha aibu
Kweli kabisa .Kuokoteza tu wachezaji sijui akina Baleke na kuishi kwa mazoea kuwategemea akina Bocco.Ndugu zangu hawa jamaa wamewekeza kwenye mpira tuache siasa za kina Mangungo kuleta mchezaji siku za uchaguzi 🤣🤣🤣
Simba atapigwa km Ngoma leo aongeze 1 awaonee huruma hawa watu 😂Refa ongeza dk 10 😊