Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Ubora wa vikosi unajionyesha wazi hapa.
Simba kikosi cha bilioni ngapi ukilinganisha na Raja Casablanca. Ni wazi kikosi cha wageni kitakuwa cha mabilioni mengi na hivyo kuwa na wachezaji bora kuliko wale wa Simba.
Nimekumbuka usemi wa Mheshimiwa Kikwete. .."Ukitaka kula lazima uwe tayari na wewe kuliwa" Mafanikio hayaji kiwepesi. Lazima jasho hata ikibidi la damu litoke.......
Poleni sana Wanasimba.
Simba kikosi cha bilioni ngapi ukilinganisha na Raja Casablanca. Ni wazi kikosi cha wageni kitakuwa cha mabilioni mengi na hivyo kuwa na wachezaji bora kuliko wale wa Simba.
Nimekumbuka usemi wa Mheshimiwa Kikwete. .."Ukitaka kula lazima uwe tayari na wewe kuliwa" Mafanikio hayaji kiwepesi. Lazima jasho hata ikibidi la damu litoke.......
Poleni sana Wanasimba.