Juzi nliota simba kauwa mtu 2
Kitu Kikiwa Yanga lazima kitrend .Sipati picha hii mechi, first mach AFICAN LEAGUE...Fursa angekuwa ameipata YANGA sipati picha kwenye mitandaoni,.... ni propagandist wazuri sana...
Hapana ni 4 ile ile.....hapa kila nikiwanga naona ni 4 tuSimba 2:1 Al
Wamo ila yale mapipa waliyobeba yamewachosha, wameishiwa nguvuKwamba hawamo uwanjan
Yanga ya nini hapa, tunaoengelea vitu vya maana mkuu. Yanga inakujaje kwenye vitu vya maana?Kitu Kikiwa Yanga lazima kitrend .
Startimes wanaonyesha Chanel ganiNenda kwenye site ya FIFA walisema itakuwa live.
Uko sawa kabisa.Ni mbumbumbu peke yao wanaweza kuamini hivyoNi kichaa tu ndiye anayeweza kuamini Simba hii mbovu inaweza kumfunga Al Ahaly na kumtoa.
Nikaangalia Haraka harak nkaona kam Game, 🤣😀 Akili za Ps hizi heb ngoja kwanza Nikapashe Fifa kidogo hapa
Shadya ana mzigo wa kwenda 😋😋Nimemfuma Shadeeya leo katupia🦁View attachment 2787343