Yangu ni hayo tu.vijana wajikaze wasifungwe goli za kutosha Bali wajilinde na kupunguza idadi ya magoli .tusitake kushindana na moroco hatuwawezi.
 
Kwenye mkeka nimeiua stars, kihasibu ntakuwa nafuraha mara 2, moja mkeka kutiki pili ushindi wa Morocco dhidi ya timu mbovu inayopoteza pesa za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…