Tibu bovu lipigwe mpaka akili ziwakae sawa.Kwenda kwetu
Si bora hata angekaa Metacha?Huyu kipa huyu Kocha alifikiria nini?
Halitotokea hili katu..KAMA KUNA KITU NATAMANI NI KUONA TAIFA STARS IKIPIGWA TANO BILA ILI TUACHE UPUMBAVU
Metacha ni wa mechi ndogoSi bora hata angekaa Metacha?
Tunamshukuru mama kwa kuwezesha Morocco kukosa penaltyAfadhali amekosa....
Hater's wa Stars aibu iwe juu yenu.
mbon upo nyuma unachekia online nnKona ya pili wanapiga Morroco
Uzalendo sio kujidanganya tutawafunga Morocco na wachezaji wetu wa aina hiiTunapelekewa sana